msaaada wa mawazo please

jeang

Member
Joined
Feb 3, 2014
Posts
70
Reaction score
16
habari wanajamvini,

nimekuwa nikitamani kufanya biashara ya kuuza vitenge.
Nimesikia fununu kuwaTunduma /Mwanza mpakani na ........./Congo ndo maarufu wa uuzaji wa vitenge kwa bei nafuu. je kuna ukweli juu ya hilo? na je vipi kuhusu urahisi wa upatikanaji wake?


Asanteni kwa maelezo yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…