jeang
Member
- Feb 3, 2014
- 70
- 16
habari wanajamvini,
nimekuwa nikitamani kufanya biashara ya kuuza vitenge.
Nimesikia fununu kuwaTunduma /Mwanza mpakani na ........./Congo ndo maarufu wa uuzaji wa vitenge kwa bei nafuu. je kuna ukweli juu ya hilo? na je vipi kuhusu urahisi wa upatikanaji wake?
Asanteni kwa maelezo yenu
nimekuwa nikitamani kufanya biashara ya kuuza vitenge.
Nimesikia fununu kuwaTunduma /Mwanza mpakani na ........./Congo ndo maarufu wa uuzaji wa vitenge kwa bei nafuu. je kuna ukweli juu ya hilo? na je vipi kuhusu urahisi wa upatikanaji wake?
Asanteni kwa maelezo yenu