Hongera kwa wazo lako, ni kweli sector hii inapanuka utapata soko ila kwanza utupe hint ya size/capacity, price na labda itatumia nini umeme au. Pia jaribu kupata informatio toka SIDO nao nilisikia wanazo wanauza kama walipata wateja au. Binafsi ningependa lakini baada ya muda fulani, ninarekebisha mambo mengine kidogo.