Msaad kuhusu ugonjwa wa brusela.

Msaad kuhusu ugonjwa wa brusela.

rasmanyara

Senior Member
Joined
Sep 12, 2011
Posts
197
Reaction score
18
Habari ndugu. Naombeni msaada wa kujua ni madhara gani yanaweza mpata msichana mjamzito yeye au kiumbe alicho nacho akiwa ana ugonjwa wa Brusela(unaosababishwa na nyama isiyoiva vizuro). Naombeni mwenyekuja anifahamishe. Asante
 
Back
Top Bottom