Technician JF-Expert Member Joined Mar 30, 2010 Posts 841 Reaction score 222 Aug 10, 2010 #1 Msaada jamani wana JF mwenye CD yake naomba anipatie
X-PASTER JF-Expert Member Joined Feb 12, 2007 Posts 11,605 Reaction score 1,843 Aug 10, 2010 #2 Wewe hata Filamu haijatoka kwenye majumba ya kuonyeshea unataka CD!? Subiri at least two months utapata DVD na Blu-ray Disc.
Wewe hata Filamu haijatoka kwenye majumba ya kuonyeshea unataka CD!? Subiri at least two months utapata DVD na Blu-ray Disc.
Gang Chomba JF-Expert Member Joined Feb 29, 2008 Posts 20,649 Reaction score 4,786 Aug 11, 2010 #3 August 19 tutaanza kuiangalia sisi huku. Kisha baada ya hapo ally Baba atawaletea copy ile yenye Giza kisha baada ya Muda mtaipata ilo safi
August 19 tutaanza kuiangalia sisi huku. Kisha baada ya hapo ally Baba atawaletea copy ile yenye Giza kisha baada ya Muda mtaipata ilo safi
Technician JF-Expert Member Joined Mar 30, 2010 Posts 841 Reaction score 222 Aug 11, 2010 Thread starter #4 X-PASTER said: Wewe hata Filamu haijatoka kwenye majumba ya kuonyeshea unataka CD!? Subiri at least two months utapata DVD na Blu-ray Disc. Click to expand... Aksante paster,Nilidhani imeshatoka huko majuu.Tz mpaka ifike mwaka ujao,poa tutasubiri tuu ndio kazi yetu.
X-PASTER said: Wewe hata Filamu haijatoka kwenye majumba ya kuonyeshea unataka CD!? Subiri at least two months utapata DVD na Blu-ray Disc. Click to expand... Aksante paster,Nilidhani imeshatoka huko majuu.Tz mpaka ifike mwaka ujao,poa tutasubiri tuu ndio kazi yetu.
X-PASTER JF-Expert Member Joined Feb 12, 2007 Posts 11,605 Reaction score 1,843 Aug 12, 2010 #5 Technician said: Aksante paster,Nilidhani imeshatoka huko majuu.Tz mpaka ifike mwaka ujao,poa tutasubiri tuu ndio kazi yetu. Click to expand... Nadhani within three months itakuwa mitaani...!
Technician said: Aksante paster,Nilidhani imeshatoka huko majuu.Tz mpaka ifike mwaka ujao,poa tutasubiri tuu ndio kazi yetu. Click to expand... Nadhani within three months itakuwa mitaani...!