Msaada 1,000,000 inatoshaa kupataa vitu hivii

james bendui

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2015
Posts
693
Reaction score
690
Msaada wana jf mm nipo njee ya dar es salaam ila na ndugu yangu yp dar ss ninamilion mojaa kunavitu nataka nimuombe anisaidie kununua ukweli sifahamu bei yk kwa sasa na pia sijui ainaa ipii ni bora zaid niwaombe wana jf anayefahamu anisaidie kwa swalaa hiloo
Frijiii nzurii inayowezaa kitengeneza ubaridi kwa harak, ovenaa ya kuoka mkate inayotumia gas na umeme km ipo na Brenda ya kutengenez juicee ambayo ni imara zaid na kubwaa kidogoo..
 
Jiandae kutapeliwa maisha magumu wewe unatamanisha watu kwa kuwatumia pesa msimu huu wa sikukuu?? Karibu na January.......ushauri ongezea pesa kiasi kidogo UJipange uende pekeyako ukapajue na daresaalaama jiji la raha.

Usisahau kwenda kigamboni, samaki samaki, Mliman city, mbalamwezi ujionee vitu vya wazungu kidogo[emoji290] [emoji288] [emoji289]
 
Hiyo hela bora ukainywe..... Usawa huu sio wa kutumia mtu hela hata kama ni ndugu yako ooohooo

 
Hiyo ela haitoshi unless unanunua vitu used... ongeza kidogo na uje ununue mwenyewe and by the way ingia instagram mcheck huyu jamaa anaitwa amazing lifestyle anauza hivyo vitu na mkoani anatuma anaweza kukusaidia kuliko kupitisha ela kwa mtu maana ana duka la hivyo vifaa
 
Asante kwa msaadaa mkuu nitapitaa insta nimuangaliee
 
Asipofika Mnara wa Askari atakuwa hajafika Dar es salaam
 
Friji laki 4
Brenda heavy duty laki 250
 
Mh!! Itabaki kweli hiyo hela!!!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…