Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,353
- 1,234
nenda muhimbili wapo kibao hapo ndo utapata hata appointment
Asante kwa ushauri Mkuu.
Ila naogopa usumbufu, hasa uzikizinagtia inasemekana kwamba mgomo wa ma dr. unaendelea kimya kimya.
Ningependa zaidi private clinics.
Wana Jamvi,
Naomba kama kuna mtu anamfahamu dakatari wa akina mama ambaye anaweza kumsaidia auntie yangu ambaye ana matatizo ya kushika mimba.
Nitashukuru kama nitapata jina lake, namba zake za simu na wapi anapatikana (ratiba yake itasaidia zaidi).
Natanguliza shukrani zangu
Wana Jamvi,
Naomba kama kuna mtu anamfahamu dakatari wa akina mama ambaye anaweza kumsaidia auntie yangu ambaye ana matatizo ya kushika mimba.
Nitashukuru kama nitapata jina lake, namba zake za simu na wapi anapatikana (ratiba yake itasaidia zaidi).
Natanguliza shukrani zangu
Asante kwa ushauri Mkuu.
Ila naogopa usumbufu, hasa uzikizinagtia inasemekana kwamba mgomo wa ma dr. unaendelea kimya kimya.
Ningependa zaidi private clinics.