Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,353
- 1,234
Wana Jamvi,
Naomba kama kuna mtu anamfahamu dakatari wa akina mama ambaye anaweza kumsaidia auntie yangu ambaye ana matatizo ya kushika mimba.
Nitashukuru kama nitapata jina lake, namba zake za simu na wapi anapatikana (ratiba yake itasaidia zaidi).
Natanguliza shukrani zangu
Naomba kama kuna mtu anamfahamu dakatari wa akina mama ambaye anaweza kumsaidia auntie yangu ambaye ana matatizo ya kushika mimba.
Nitashukuru kama nitapata jina lake, namba zake za simu na wapi anapatikana (ratiba yake itasaidia zaidi).
Natanguliza shukrani zangu