Msaada :Admission letter za N.i.t

Msaada :Admission letter za N.i.t

Jerry Jerry

Member
Joined
Jul 31, 2013
Posts
40
Reaction score
0
Jamani kwa anayejua kuhusu upatikanaji wa admission letter kwa chuo cha NIT anijuze ili nami niipate
 
Jamani kwa anayejua kuhusu upatikanaji wa admission letter kwa chuo cha NIT anijuze ili nami niipate

Zinapatikana chuoni kwao pale mabibo. kama upo nje ya dsm wewe download joining instruction na fomu zinginezo kisha zijaze halafu wakati wa kuja kuripoti chuoni utachukua hiyo admission letter ili ukamilisha nyaraka.
 
Zinapatikana chuoni kwao pale mabibo. kama upo nje ya dsm wewe download joining instruction na fomu zinginezo kisha zijaze halafu wakati wa kuja kuripoti chuoni utachukua hiyo admission letter ili ukamilisha nyaraka.

poa mkuu.
 
Back
Top Bottom