Msaada Ajira Portal ya Tume ya Utumishi wa Mahakama

Msaada Ajira Portal ya Tume ya Utumishi wa Mahakama

Hedaru2022

Member
Joined
Mar 26, 2022
Posts
10
Reaction score
15
Wakuu Portal ya Tume ya Utumishi wa Mahakama ni Pasua kichwa, kila ukijaribu ku register ili ufanye application haikubali ukipiga simu ya maulizo unajibiwa "linafanyiwa kazi na watu wa IT" na deadline imekaribia.

Kuna ambaye amejaribu amefanikiwa kutuma application anisaidie ?

Au ndio janja janja nafasi zote zimeshajazwa watoto wa maskini tumezugwa na Portal
 
Ni changamoto sn mkuu.Hata huko kwingine hapaeleweki.

Kama leo wametangaza ajira bu zingine hazipo kwenye mfumo ila kwenye tangazo zipo.Kwa mfano kwenye tangazo HESLB ipo na wanataka watumishi 48 but ukifungua portal hamna, ipo nafasi 1 tu ya mtu wa procurement.

Hawaeleweki kabisaaaa,bora kutuma kwa posta.Warudishe watu watume kwa posta
 
Ito ya mahakama hata mimi nimeshindwa ukiweka hiki mwisho wanasema hiki bado ukiweka pia inagoma ilimradi changamoto tu
 
Mimi naambiwa niupdate taarifa zangu kwa namba ga nida nikiweka namba naambiwa namba tayari ishatumika sehemu nyinginee
 
Nime apply lakini uki preview vinatokea vitu vingine tofauti na ulivyoingiza na Mfumo huwezi ku edit tena application ukishatuma
 
Mimi kufungua account portal inagoma.Nataka jaza taarifa zangu na ku upload picha.

Nafanyeje wakuu
 
Mimi naambiwa niupdate taarifa zangu kwa namba ga nida nikiweka namba naambiwa namba tayari ishatumika sehemu nyinginee
Hapo huna namna chakufanya waombe wakutumie hiyo email iliyotumia number yako ya nida. unaonekana ushawahi kujisajili
 
Ni changamoto sn mkuu.Hata huko kwingine hapaeleweki.

Kama leo wametangaza ajira bu zingine hazipo kwenye mfumo ila kwenye tangazo zipo.Kwa mfano kwenye tangazo HESLB ipo na wanataka watumishi 48 but ukifungua portal hamna, ipo nafasi 1 tu ya mtu wa procurement.

Hawaeleweki kabisaaaa,bora kutuma kwa posta.Warudishe watu watume kwa posta
Zipo mkuu, angalia tena
 
Sahizi ipo vizuri mkuu me jana nimeteleza tu bila kusumbua chchote
 
Back
Top Bottom