Msaada: Alinikopesha laki 5 kwa ahadi ya kumrudishia laki 6 kwa maandishi baina yetu, leo kaenda kunishtaki ananidai milioni 1

Msaada: Alinikopesha laki 5 kwa ahadi ya kumrudishia laki 6 kwa maandishi baina yetu, leo kaenda kunishtaki ananidai milioni 1

We nae hujui sheria, chunga sana usije ukaumia, ni kosa kisheria kukopesha kwa riba bila leseni kutoka bot, sasa hao wote wanaokopeshana kwa kuandikishana ni kazi bure siku mambo yakiharibika usije ukaenda kokote kushtaki kwasababu hio kesi inakugeukia na hautolipwa, hapo jamaa kashashinda kesi kabla haijaanza 🙂
Pole. Baki kwenye sheria, hujui kinachoendelea upande wa hiyo sekta. Watu wameachia (wamepoteza) mali zao walizowekeza, kama nyumba,viwanja,magari n.k
 
Pole. Baki kwenye sheria, hujui kinachoendelea upande wa hiyo sekta. Watu wameachia (wamepoteza) mali zao walizowekeza, kama nyumba,viwanja,magari n.k
naunga mkono,wengi wa matapeli wanashauriana kwenye vijiwe kuwa UKIKOPA HAULIPI NA HAKUNA SHERIA ITAKAYOKUTAKA ULIPE,wanahamasishama wakope na wasilipe..
Kwa sheria wanazofundishana kwenye vijiwe vya soga stori .Wengine wanafundisha hata ukipelekwa mahakamani utakuwa unalipa kidogo kidogo hata buku buku kila mwezi.
Acha waendeleee kudanganyana ,mmoja nilimpeleka mahakamani tena mtumishi muajiriwa akaishia kuzuiliwa mshahara wake ukalipa deni langu,ningeweza nikakamata mali zake hata nyumba,kiwanja..ila nikachagua kuzuia akaunti yale ya mshahara.Na yeye ndio alikuwa kiherehere anawakataza wenzake waliokopa wasilipe.
 
naunga mkono,wengi wa matapeli wanashauriana kwenye vijiwe kuwa UKIKOPA HAULIPI NA HAKUNA SHERIA ITAKAYOKUTAKA ULIPE,wanahamasishama wakope na wasilipe..
Kwa sheria wanazofundishana kwenye vijiwe vya soga stori .Wengine wanafundisha hata ukipelekwa mahakamani utakuwa unalipa kidogo kidogo hata buku buku kila mwezi.
Acha waendeleee kudanganyana ,mmoja nilimpeleka mahakamani tena mtumishi muajiriwa akaishia kuzuiliwa mshahara wake ukalipa deni langu,ningeweza nikakamata mali zake hata nyumba,kiwanja..ila nikachagua kuzuia akaunti yale ya mshahara.Na yeye ndio alikuwa kiherehere anawakataza wenzake waliokopa wasilipe.
Screenshot_20250102-222429.png

Jamani jufunzeni sheria za nchi japo kidogo, kule mahakamani hawajali kama ulijua au hukujua,..ni kosa kisheria kukopesha mtu kwa riba bila leseni, kama utamkopesha mtu kwa riba na hauna leseni mliandikishana tu, siku huyo mdaiwa akija kulegalega kwenye ulipaji, kama kesi ikaescalate ikaenda mahakamani, mdaiwa kashashinda kesi, vidocument vyote mlivyosainishana ni batili, yani kiufupi ni kama unafanya biashara ya bangi halafu ukazulumiwa af unakimbilia mahakamani, unaenda kujichoma mwenyewe!!
 
View attachment 3190960
Jamani jufunzeni sheria za nchi japo kidogo, kule mahakamani hawajali kama ulijua au hukujua,..ni kosa kisheria kukopesha mtu kwa riba bila leseni, kama utamkopesha mtu kwa riba na hauna leseni mliandikishana tu, siku huyo mdaiwa akija kulegalega kwenye ulipaji, kama kesi ikaescalate ikaenda mahakamani, mdaiwa kashashinda kesi, vidocument vyote mlivyosainishana ni batili, yani kiufupi ni kama unafanya biashara ya bangi halafu ukazulumiwa af unakimbilia mahakamani, unaenda kujichoma mwenyewe!!

HIYO SHERIA WANAIJUA NA WANACHOFANYA WAO WANAAZIMA KWA MAKUBALIANO YA KURUDISHIWA kitendo kinachofanyika ni "KUAZIMA sio KUKOPESHA*

Na MAHAKAMANI wanajua huwa tunaazimana PESA,na mkataba unasomeka MAKUBALIANO/MKATABA wa KUAZIMA PESA(sio kukopesha)
.
either way...KUJIPATIA PESA KWA NJIA YA UDANGANYIFU PIA NI KOSA KISHERIA.

Kwa uzoefu wangu ,MSIDANGANYIKE msifanye kosa la kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu eti ukafikiri ukifika mahakamani utaenda KUSHINDA KESI na hela hata kama ikithibitika bila shaka ulichukua ulipokea/uliazimwa hela ya watu

alafu eti udhulumu eti kwa vile unajua sheria.
Jichanganye ..

.kwa ground mambo ni tofauti...DAWA YA DENI NI KULIPA na SIO KUTAPELI kwa kisingizio eti KUNA SHERIA ITAWALINDA MATAPELI MADHULUMATI??JICHANGANYE...

Mfano coworker alikuja akanililia shida mtoto wake anaumwa nimkopeshe pesa ampeleke hospitali nikawa sina ,nikamuunganisha na kumdhamini kwa wakopeshaji akaandika na mkatababa wa kuazima kwa makubalino ya kurudisha baada ya mwezi akipokea posho za kazini au mshahara ukitika.

Alivyopokea pesa za mkopo alizoazima za kumuuguza mwanaye AKAENDA CLUB MBAMBALAGA kuinywa pombe ikaisha
kumbe hana hata mtoto hana mgonjwa na ametapeli cowokers wengi wanamdai.
Kuanza kumdai akaanza kupiga chenga eti anajua sheria sana anasema nendeni popote hata mahakamani hawawezi kumfanya chochote.

Nikaenda kwa mwajiri wake huko nako nikakuta anadaiwa na wengi list ndefu kama baba yake OKONKWO things fall apart-chinua achebe,hadi posho za kazini huwa zinakatwa kutoka akaunti yake na ma HR kulipia madeni ya wanaodai na ni wengi.
NA pia huyu bwa mdogo ni MSELA PORI /MSELA MAVI
JEURI ana KAULI CHAFU na matusi..anajibu jeuri..
KUMPELEKA mahakamani alipofika AMKAMFYONZA hakimu jeuri..kumdharau hakimu na mahakama

Ila ushahidi wa miamala ulikuwepo kuwa pesa alipokea ina yeye ALIKIRI KUPOKEA PESA kutoka kwetu mimi mdhamini wake na shahidi/na waliomkopesha alipokea kwa ajili ya kumuuguza mtoto aliyedai anaumwa.

MDAIWA kakubali anadaiwa na sisi tunaomdai tupo ,na ushahidi upo,MUDA tuliokubaliana atalipa ni ndani ya mwezi mmoja au baada ya siku 30,mpaka namshitaki mahakamani ilikuwa ni mwwzi wa 5 hivi miezi mitano imepita,amezidisha miezi mitano,na hana mpango wa kulipa na ana kauli chafu.

TULIOFUNGUA KESI WADAI /MDAI TUPO..na MDAIWA wetu AMEKUBALI KOSA LAKE anadaiwa na amekiri anadaiwa,hata asingekiri USHAHIDI ULIKUWEPO WA MIAMALA NA HATI YA MAKUBALIANO
(KESI IMEISHA)

SASA AKAAMBIWA/
HUKUMU IKATOKA ALIPE..

DAWA YA DENI NI KULIPA.

Huwezi ukajipatia hela kwa njia ya udanganyifu(NI KOSA)..msidanganyike.

HITIMISHO.
KAMA ULIKOPA HELA KUTOKA KWA WATU
LIPA PESA YA WATU...
SASA KWANINI HUTAKI KULIPA PESA YA WATU.?! UNATAKA UJIPATIE BURE TU KWA NJIA YA UDANGANYIFU????

1)KWA NINI UNAFIKIRI SHERIA INATAKIWA IKULINDE WEWE TAPELI (CRIMINER) NA SIO VICTIM.???sasa hiyo itakuwa sheria au utopolo??
2)JE?unafikiri hiyo itakuwa ni HAKI yako wewe USILIPE ,vipi HAKI ya Yule ANAYEKUDAI atalipwa na nani??

Kwa hiyo unafikiri ni haki yako kujipatia hela kwa njia ya udanganyifu???

View: https://youtu.be/z50M7VFbEPc?si=q3gr0y3xWHGvROki
 
Kuna mtu aliniazima pesa kiasi cha laki tano nikaelewana nae nitamlipa laki sita lakini mambo hayakuwa sawa nikamuomba kumlipa kidogo kidogo na tuliandikiana kwa karatasi tu kishikai sisi wenyewe wawili.

Lakini leo ameenda nishitaki mahakama ya mwanzo na wameniletea samansi lkn ameandika kuwa ananidai milioni moja.

Hii imekaaje?
Lipa riba ya watu siku ya Kula hukutushirikisha ulisema utalipa mda wa kulipa umefika unatulilia 😎
 
Kuna mtu aliniazima pesa kiasi cha laki tano nikaelewana nae nitamlipa laki sita lakini mambo hayakuwa sawa nikamuomba kumlipa kidogo kidogo na tuliandikiana kwa karatasi tu kishikai sisi wenyewe wawili.

Lakini leo ameenda nishitaki mahakama ya mwanzo na wameniletea samansi lkn ameandika kuwa ananidai milioni moja.

Hii imekaaje?
Alikukopa au alikuazima ? Maana kukopesha ni kwa ajili ya taasisi za kifedha zenye leseni na zinazotambulika na jamii
 
Back
Top Bottom