Anadai kwenye hiko kieneo kuna kaburi sijui alizika mtt mchanga kipindi cha nyuma sana, af sasa kile kikaratasi tulichoandikishana nabkutia saini nmekipoteza naishije apo, sheria inasemaje nikipoteza iyo hati ya mauziano pili kuhusu iyo ishu ya kudai kuna kaburi apo nifanyeje???
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app