Sultan Kipingo
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 238
- 178
Habari wakuu
Nahitaji ushauri wenu juu ya mwanafunzi aliyemaliza form 4 na kupata division 4 ya 32.
Na hizo D mbili alizonazo si ktk masomo ya sayansi yani hesabu, fizikia, kemia, baiolojia ama jiografia.
Binafsi anahitaji kusomea Information Technology IT au kozi zinazoenda na kozi hii ktk vyuo vinavyotambuliwa na serikali yani sio vile vya mitaani.
Alijaribu kurudia mtihani mara mbili lakn hakuweza kupata zaidi ya pointi hizo.
Vyuo vingi vya fani ya compyuta vinahitaji mtu awe angalau na D tatu ili aweze kusomea fani hizo.
Wakuu Ushauri wenu ni muhimu sana juu ya hili.
Ahsanteni.
Nahitaji ushauri wenu juu ya mwanafunzi aliyemaliza form 4 na kupata division 4 ya 32.
Na hizo D mbili alizonazo si ktk masomo ya sayansi yani hesabu, fizikia, kemia, baiolojia ama jiografia.
Binafsi anahitaji kusomea Information Technology IT au kozi zinazoenda na kozi hii ktk vyuo vinavyotambuliwa na serikali yani sio vile vya mitaani.
Alijaribu kurudia mtihani mara mbili lakn hakuweza kupata zaidi ya pointi hizo.
Vyuo vingi vya fani ya compyuta vinahitaji mtu awe angalau na D tatu ili aweze kusomea fani hizo.
Wakuu Ushauri wenu ni muhimu sana juu ya hili.
Ahsanteni.