Msaada: Ana ujauzito wa wiki 3 na bado anapata hedhi

ranjan

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2013
Posts
338
Reaction score
288
Habari wadau. Naomba mnijuze hivi mwanamke au binti anaweza kuwa na mimba ya wiki Tatu na akaona siku zake kama kawaida japo damu haitoki nyingi,,? Au changa La macho
,?
 
inatokea kwa baadhi ya wanawake,kama sikosei hali hiyo wanaiita spotting kitaalamu. subiri waje
 
inatokea inaitwa implantation bleeding lakini si zaidi ya wiki ya tatu maake wiki ya tatu kwa kawaida kijusi ndio hujishikiza kwenye mji wa uzazi ikizidi zaidi ya huo mida basi ni dalili za hatari za mimba fika hospital
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…