genesisbryne
Member
- Dec 30, 2010
- 12
- 2
Hello!
Habari zenu, tafadhari naomba kwa mtu yeyote anayefahamu datrari bingwa anipatie maelekezo maana nina tatizo hili na nimeshafayiwa operation mara moja bila mafanikio. Au kwa yeyote aliyewahi kuugua kisha kupata matibabu na kupona naomba anipatie msaada
ahsante