Msaada: Ananisugua kiganja nyakati za usiku nikiwa nimelala

Msaada: Ananisugua kiganja nyakati za usiku nikiwa nimelala

Dakxir

Member
Joined
Jan 20, 2018
Posts
44
Reaction score
97
Habari zenu ndugu wana JF,

Kuna mapya nimeyaona baada ya kuingia kwa mara ya kwanza katika ndoa, nimeoa mwanamke kutoka huko Uyaoni Tunduru.

Ajabu yangu ni kwamba mara kadhaa nikistuka usingizini nakuta mke anasugua kiganja changu cha mkono wa kulia na hata nikikunja kiganja kwa mfano wa ngumi huwa anabana katika mshipa wa fahamu baina ya kiganja na mkono mwishowe lazima utafungua ngumi yako na atasugua eneo la kati ya kiganja.

Niliamua kumchunguza kwa muda mrefu haachi na sijui nini maana yake, naomba msaada kujuzwa na mwenye kujua ni nini habari hii, ni nini maana na sababu ya kufanyiwa haya kusuguliwa kiganja!
 
Mkuu huyo Mkeo anakuwa hajatosheka na mechi uliyokuwa umempa, hivyo anafanya hivyo kukuamsha ili muendelee

Saikolojia inaonesha Mwanamke hawezi kupata usingizi iwapo hajafika kibo wakati mna du, kwani huwa wanahisi maumivu

Jitahidi uwe unamfikisha Mkuu
 
Habari zenu ndugu wana forums.kuna mapya nimeyaona baada ya kuingia kwa mara ya kwanza ktk ndoa.nimeoa mwanamke kutoka huko uyaoni tunduru.ajabu yangu ni kwamba mara kadhaa nikistuka usingizini nakuta mke anasugua kiganja changu cha mkono wa kulia na hata nikikunja kiganja kwa mfano wa ngumi huwa anabana ktk mshipa wa fahamu baina ya kiganja na mkono mwishowe lazima utafungua ngumi yako na atasugua eneo la kati ya kiganja..niliamua kumchunguza kwa mda mrefu haachi na sijui nini maana yake..naomba msaada kujuzwa na mwenye kujua ni nini habari hii,ni nini maana na sababu ya kufanyiwa haya kusuguliwa kiganja
Unaibiwa nyota yako ya utajiri
 
Habari zenu ndugu wana forums.kuna mapya nimeyaona baada ya kuingia kwa mara ya kwanza ktk ndoa.nimeoa mwanamke kutoka huko uyaoni tunduru.ajabu yangu ni kwamba mara kadhaa nikistuka usingizini nakuta mke anasugua kiganja changu cha mkono wa kulia na hata nikikunja kiganja kwa mfano wa ngumi huwa anabana ktk mshipa wa fahamu baina ya kiganja na mkono mwishowe lazima utafungua ngumi yako na atasugua eneo la kati ya kiganja..niliamua kumchunguza kwa mda mrefu haachi na sijui nini maana yake..naomba msaada kujuzwa na mwenye kujua ni nini habari hii,ni nini maana na sababu ya kufanyiwa haya kusuguliwa kiganja
Mshana Jr njoo huku nyie watalaamu wa vilinge mpe ufafanuzi mdau. Kumbukeni Tanzania yote inamuunga mkono Dr Samia 2025!
 
Habari zenu ndugu wana JF,

Kuna mapya nimeyaona baada ya kuingia kwa mara ya kwanza katika ndoa, nimeoa mwanamke kutoka huko Uyaoni Tunduru.

Ajabu yangu ni kwamba mara kadhaa nikistuka usingizini nakuta mke anasugua kiganja changu cha mkono wa kulia na hata nikikunja kiganja kwa mfano wa ngumi huwa anabana katika mshipa wa fahamu baina ya kiganja na mkono mwishowe lazima utafungua ngumi yako na atasugua eneo la kati ya kiganja.

Niliamua kumchunguza kwa muda mrefu haachi na sijui nini maana yake, naomba msaada kujuzwa na mwenye kujua ni nini habari hii, ni nini maana na sababu ya kufanyiwa haya kusuguliwa kiganja!
Hahaha Poleee Tayari 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Anakukwangua ukoko utakuza na kiganja kigumu. Wenzako tunapapaswa ww unasuguliwa😂😂😂

Mkuu huyo Mkeo anakuwa hajatosheka na mechi uliyokuwa umempa, hivyo anafanya hivyo kukuamsha ili muendelee

Saikolojia inaonesha Mwanamke hawezi kupata usingizi iwapo hajafika kibo wakati mna du, kwani huwa wanahisi maumivu

Jitahidi unamfikisha Mkuu
 
Habari zenu ndugu wana JF,

Kuna mapya nimeyaona baada ya kuingia kwa mara ya kwanza katika ndoa, nimeoa mwanamke kutoka huko Uyaoni Tunduru.

Ajabu yangu ni kwamba mara kadhaa nikistuka usingizini nakuta mke anasugua kiganja changu cha mkono wa kulia na hata nikikunja kiganja kwa mfano wa ngumi huwa anabana katika mshipa wa fahamu baina ya kiganja na mkono mwishowe lazima utafungua ngumi yako na atasugua eneo la kati ya kiganja.

Niliamua kumchunguza kwa muda mrefu haachi na sijui nini maana yake, naomba msaada kujuzwa na mwenye kujua ni nini habari hii, ni nini maana na sababu ya kufanyiwa haya kusuguliwa kiganja!
Hii ni ishara mbaya sana....ushirikina
 
Habari zenu ndugu wana JF,

Kuna mapya nimeyaona baada ya kuingia kwa mara ya kwanza katika ndoa, nimeoa mwanamke kutoka huko Uyaoni Tunduru.

Ajabu yangu ni kwamba mara kadhaa nikistuka usingizini nakuta mke anasugua kiganja changu cha mkono wa kulia na hata nikikunja kiganja kwa mfano wa ngumi huwa anabana katika mshipa wa fahamu baina ya kiganja na mkono mwishowe lazima utafungua ngumi yako na atasugua eneo la kati ya kiganja.

Niliamua kumchunguza kwa muda mrefu haachi na sijui nini maana yake, naomba msaada kujuzwa na mwenye kujua ni nini habari hii, ni nini maana na sababu ya kufanyiwa haya kusuguliwa kiganja!
Tulia...
 
Back
Top Bottom