Msaada: Ananisugua kiganja nyakati za usiku nikiwa nimelala

Msaada: Ananisugua kiganja nyakati za usiku nikiwa nimelala

Habari zenu ndugu wana JF,

Kuna mapya nimeyaona baada ya kuingia kwa mara ya kwanza katika ndoa, nimeoa mwanamke kutoka huko Uyaoni Tunduru.

Ajabu yangu ni kwamba mara kadhaa nikistuka usingizini nakuta mke anasugua kiganja changu cha mkono wa kulia na hata nikikunja kiganja kwa mfano wa ngumi huwa anabana katika mshipa wa fahamu baina ya kiganja na mkono mwishowe lazima utafungua ngumi yako na atasugua eneo la kati ya kiganja.

Niliamua kumchunguza kwa muda mrefu haachi na sijui nini maana yake, naomba msaada kujuzwa na mwenye kujua ni nini habari hii, ni nini maana na sababu ya kufanyiwa haya kusuguliwa kiganja!
Soon utachapiwa, kaa mkao wa kusubiri atakuona fala haujui Mambo madogo km hayo au jongoo hapandi mtundi kichupa chako hakijai?
 
That means N***A work harder! Mpe 3+ and both teams to score halafu uone kama ataleta tena hizo.

Akiendelea kukushika, weka namba zake ili upewe ushauri wa kitaalam
 
Soon uta chapiwa na kwa ahizi comment lazima upate hofu kudadeki na ndo uta faiil kwa show zaidi[emoji81][emoji81]I short we kuchapiwa aku kwepeki
 
Habari zenu ndugu wana JF,

Kuna mapya nimeyaona baada ya kuingia kwa mara ya kwanza katika ndoa, nimeoa mwanamke kutoka huko Uyaoni Tunduru.

Ajabu yangu ni kwamba mara kadhaa nikistuka usingizini nakuta mke anasugua kiganja changu cha mkono wa kulia na hata nikikunja kiganja kwa mfano wa ngumi huwa anabana katika mshipa wa fahamu baina ya kiganja na mkono mwishowe lazima utafungua ngumi yako na atasugua eneo la kati ya kiganja.

Niliamua kumchunguza kwa muda mrefu haachi na sijui nini maana yake, naomba msaada kujuzwa na mwenye kujua ni nini habari hii, ni nini maana na sababu ya kufanyiwa haya kusuguliwa kiganja!
Mpe DUDU mkeo...huelewi nini?😂😂😂😂
Wataalam wanakuja nawaita
Atoto Nourhan Amehlo
 
Mkuu mwanamke wako haridhiki na show unazo mpa yani hafiki popote pale,

piga machine acha ulele mama, jitahidi kumsugua haswa uone kama atakusugua tena.

Usipo msugua mkeo kisawa sawa atakusugua wewe, hawa hawajuagi kuomba mnyanduo direct wasipo ridhika wanaomba kwa ishara.

Kama unashindwa kutambua ishara na maajabu ya mwanamke wako shauri yako subiria uchapiwe akili ndiyo itakukaa sawa.

Fanya mazoezi, kunywa maji ya kutosha, punguza matumizi ya sukari na vinywaji vyenye sukari, ongeza matunda na mboga za majani. Tafuta stamina sugua mama huyo mpaka aombe poo.

Mwisho kabisa angalia sana asikuibie siku zako za kuishi kwa kushindwa kumsugua kisawasawa, usimpige mpige kwa fimbo ya nyama mpaka atakuambia Asante.


Nb. Vijana tupo kukuchapia kwa siri ukishindwa kumsugua kisawasawa, ni aibu mwanaume kusuguliwa
 
Mpe DUDU mkeo...huelewi nini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wataalam wanakuja nawaita
Atoto Nourhan Amehlo
Huyu jamaa ni zazwa sana, yani hata anashindwa kutambua ishara na maajabu ya wanawake anataka mkewe amuombe direct, hajui kama wanawake wasipotosheka au wakitaka mkuyenge muda wowote wanaomba indirect ?
 
Habari zenu ndugu wana JF,

Kuna mapya nimeyaona baada ya kuingia kwa mara ya kwanza katika ndoa, nimeoa mwanamke kutoka huko Uyaoni Tunduru.

Ajabu yangu ni kwamba mara kadhaa nikistuka usingizini nakuta mke anasugua kiganja changu cha mkono wa kulia na hata nikikunja kiganja kwa mfano wa ngumi huwa anabana katika mshipa wa fahamu baina ya kiganja na mkono mwishowe lazima utafungua ngumi yako na atasugua eneo la kati ya kiganja.

Niliamua kumchunguza kwa muda mrefu haachi na sijui nini maana yake, naomba msaada kujuzwa na mwenye kujua ni nini habari hii, ni nini maana na sababu ya kufanyiwa haya kusuguliwa kiganja!
Piga vitu acha kulialia anakuwa hajafika kibo Acha ujinga
 
Habari zenu ndugu wana JF,

Kuna mapya nimeyaona baada ya kuingia kwa mara ya kwanza katika ndoa, nimeoa mwanamke kutoka huko Uyaoni Tunduru.

Ajabu yangu ni kwamba mara kadhaa nikistuka usingizini nakuta mke anasugua kiganja changu cha mkono wa kulia na hata nikikunja kiganja kwa mfano wa ngumi huwa anabana katika mshipa wa fahamu baina ya kiganja na mkono mwishowe lazima utafungua ngumi yako na atasugua eneo la kati ya kiganja.

Niliamua kumchunguza kwa muda mrefu haachi na sijui nini maana yake, naomba msaada kujuzwa na mwenye kujua ni nini habari hii, ni nini maana na sababu ya kufanyiwa haya kusuguliwa kiganja!
Mpelekee moto mkeo, inaonekana humkuni ipasavyo, inatakiwa alale usingizi wa pono.
 
Back
Top Bottom