Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahahahaha eti kama jini uuuwiahsante... huwa kila mtu ameumbiwa na fungu lake, pengine wakati wake haujafika, atampata wa saizi yake na wanaeendana... alafu mwambie kama anapushi kagari sio kila mda gari, sometimes aje kubanana huku public transport japo aghalabu, pia ibadani (church / msikitini) sio lazima aende na usafiri huku kote mda wa kwenda na kurudi anapata wasaa wa kubadilishana mawazo na watu tofauti tofauti. dress code pia ajiangalie sana, bongoland kwa wadada walioenda shule kidogo huwa ndio waongoza kwa kuvaa ovyo, vigauni vifupi vimeishia kwenye magoti au juu kama anakigari ukimuona amekaa mapaja yote yapo wazi, au ukimuona sehem kama kwenye sherehe utashangaa.. nani alituambia kuvaa ovyo ndio kuonekana msomi ? sijasema avae magunia no, ila kuna nguo zenye staha unaweza kuvaa na kuonekana cute tu, kuna minywele yenu mnavaaga sijui ndio weaving mara peruvian/brazilian hair, mnakua kama majini plus make up, mwanaume akikuangalia akikupimia anaona wewe wa gharama sana, pia anaona hapa amna wife material... vingine mwambie ajiongeze... happy new year
we njoo inbox nimekutumiaaaHao jamaa wote walio toa namba zao
Namba uliokua unataka ya kuunda group la WhatsApp haija timia?
wamekuja wengi sanaHahahahahaha story utazan kweli ..... Wanakuja mkuu penny !!.
njoo dm namba utapewaaaaIzi kazi uwe unatoa na, # Money Penny
ahahaha bro mbona nimeshakujibu pm angalia vizuriMimi ni kijana wa miaka 25
Ni mfanyabiashara na pia nimeajiriwa. Kiuchumi nipo vizuri, pesa ya kubadilisha mboga hainisumbui kabisa. Plan yangu mwakani ni kuoa japo sina bado ambae naweza sema ndo atakuwa my wife and babies' mama. Umri kwangu sijali sana. Kama atakuwa tayari aniPM tujuane tuanzisha mahusiano.
samahani kwa swali hili, mwana wewe ushaufichua uchi na una watoto wangap labda?Duuuh mpe pole sana
naona naonaaaHv anasubiri mume ashuke km malaika toka mbinguni???.. Ndoa hizi usione watu kila mtu anakufa na tai shingoni...mda mwingine watu wanafosi kingi meng yatajulikana mbele ya safari
njoo inbox nitakupa nambaniunganishe naye
nakuona nakuonaaamimi ninge faa ila bado mdogo
sasa na fibroid je? anazifanyaje?35yrs bado sana, asiwe na papara wala stress. Atampata tu.
Basi akomae kwa yesu huko huko atampata asiwe na haraka na sikimbie sana mikunyenge hilo tumbo la kuhara litamletea majanga zaidiHill hataki hata kusikia
Yeye anampenda Yesu hataki kuhama team
Ukimaliza Uje na huku STORY: FUMANIZI LA UKUBWANI
ndio umtongoze mpaka akolee bro vepe unataka mambo marahisi bro maisha yenyewe ndio hayaaTatzo anaogopa kupgwa mambo sasa ata uktoa namba c shda tupu. Anahtaj msaada wa kushkriwa uyo.
hahahahaBasi akomae kwa yesu huko huko atampata asiwe na haraka na sikimbie sana mikunyenge hilo tumbo la kuhara litamletea majanga zaidi
uje nitakupahebu ni PM namba zake faster,,nina sperm nying sitaki kwenda nazo 2018
hahaha we nawe isije ikawa unazipa promo nyuzi zako kwa kupitia fibroid za best wako,haya ngoja nije
mimi ni mama wa watoto wa 3 sina shida ya serengeti boys!hahaha we nawe isije ikawa unazipa promo nyuzi zako kwa kupitia fibroid za best wako,haya ngoja nije
Wana kuja na wanavyopenda kulelewa MPE pole shosti wako