Msaada: Anataka kuolewa na kupata watoto ila hana bwana

Popobawa wanahusika hapa ila sijawahi kusikia wakifunga pingu za maisha. Wao hupiga goli lao kisha kusepa hadi watapopata hamu tena ya kugegeda.
wamejaa kanisani kwake kwa Mzee Mwingira ila yeye anataka wazalendo wenzake

unless una maana nyingine ya POPOBAWA na ile ninayoijua

njoo basi usome wenzio wanakula ndoani STORY: FUMANIZI LA UKUBWANI
 
Reactions: BAK
Mlete kwangu nitamsaidia. Na mie nina PhD. Kikubwa amheshimu mama watoto niliyenaye
 
Duh! Nimepatwa na mshangao mkubwa sana.
Inawezekanaje mwanamke akakosa mwanaume? Bado siamini. Hongera kwa story ya kutunga
 
Mimi si muoaji kwa sababu nna familia, ila kama yuko interested na watoto! Naitwa kidume cha mbegu, mimba ni faster! Akiridhia watoto bila ndoa sawa. Niunge naye tafadhali!
 
Hapana. Bado sijashawishika. Mwanamke anaweza asipate mtu wa kumuoa lkn wa kupeana utamu hawezi kukosa 100%. Bado sijaamini 100%. Kwa mwanaume kuwa single nakubali 100% lkn kwa mwanamke. Mh! Bado.
Welcome to Dar es salaam
Hats mabikra miaka 35 wapo
 
Asante. Ngoja nione hilo fumaniz la ukubwan. Ila ukiwa na mke na mchepuko inahitaji uwe na moyo mgumu. Unaishi km mwizi, hofu na wasi wasi mwingi. Mama akishika simu, roho ipo juu, ukienda kuoga unakuwa na wasiwasi. Huu mchezo sitaufanya tena. Nishakoma kuishi kwa km sungura
 
Asante. Nami nipo dar pia. 35? Hapana kwa hiyo sbb jinsia ya kike huwahi kuingia kweny mapenzi kuliko jinsia me. Lbda lkn? Siamin




Ukimaliza Uje na huku STORY: FUMANIZI LA UKUBWANI

Na huku Msaada: Anataka kuolewa na kupata watoto ila hana bwana

Na hapaaa Stori: Jinsi ya Kumtongoza Mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…