Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwinga mgumu atakufa njaaa bure.....labda kama ana marafiki zake wenye uzoefu humo, mm naishi kivingine tu sio Kwa Hela za uwingaMpaji Mungu njoo toa muongozo kaka.
Anhaaa mi nilikuita sababu unazungumzia mambo ya kariakoo Mara kwa Mara na nduguyo Lamomy.Uwinga mgumu atakufa njaaa bure.....labda kama ana marafiki zake wenye uzoefu humo, mm naishi kivingine tu sio Kwa Hela za uwinga
Uwinga ilikua zamani siku hizi ni ngumuAnhaaa mi nilikuita sababu unazungumzia mambo ya kariakoo Mara kwa Mara na nduguyo Lamomy.
Nililazimika kuwa winga baada ya kuingia kichwakichwa na notebook, calculator na pen kwenye biashara. Nikafanya sijui research kwenye madaftari nikaingia nikala za uso nikapungua mtaji na kilichobaki nikatumia zikaisha.Ila uwinga unakuaga automatically tyuuh!! Niliwahi jaribu kipindi fulani, nilifanya vyema ilaa aaah sikutokea kuupenda nikaupiga chini.
Nilifanya ili nipate ABC za biashara kwa undanii, afu sio lazima iwe KKOO, mbona hata sehemu ingine, tena km ana smartphone ndo kabisaa simple tyuuh.