Msaada: Anateswa na jini mahaba, kajaribu kila kitu kimeshindikana

Msaada: Anateswa na jini mahaba, kajaribu kila kitu kimeshindikana

SweetyCandy

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2022
Posts
3,109
Reaction score
6,323
Wadau jamani tukiacha matani ni wapi mty aende akatolewe jini mahaba anasumbua sana kiasi cha kuua hata walio karibu na huyu dada mpaka nasasa amekuwa anaadhiri sana maisha yake.

Ikiwemo uchumba kuharibika na riziki pia kaombewa, kanywa mafuta kafanya kila kitu umri unaenda naombeni mumsaidie kwa wenye roho za huruma.
 
Hayo madude huwa yanawafuata mabinti wenye uchu na ambao roho zao hazina ulinzi kiimani.

Nakumbuka miaka iliyopita 199+kuna binti mmoja wa singida alikuwa nalo, yaani alikuwa hakosi kitu anachotaka ila hatakiwi kuwa na boyfriend nje ya hilo dude.

Ila nilikuja kupata taarifa lilimuacha na sasa kaolewa na ana watoto na maisha ni bulibuli.

NofP; Linapokuja ndotoni alichane makavu na kulitupia the power of Jesus Christ halitarudi, vinginevyo ndotoni akiwa anawaza uroda wake na linavyomsg#€§£πa haliwezi kuondoka.

In the name of Jesus son of Heaven Father...
 
Back
Top Bottom