Msaada: Anateswa na jini mahaba, kajaribu kila kitu kimeshindikana

Msaada: Anateswa na jini mahaba, kajaribu kila kitu kimeshindikana

Mwambie aokoke! Jini atakimbia mwenyewe!
Akienda huoo kwenye ulokole ndiyo atakuwa amechochea moto.
Mlokole hana uwezo wa kumtoa jini, sana sana jini atakereka na makelele ya walokole.
Kuna shehe yeye anasema anayo dawa ya jini mahaba, dawa yake inatakiwa iwekwe sehemu za siri na anazipaka kwenye uume wake halafu anaingiza ili ziingie vizuri.
Kama yuko tayari amtafute Shehe yeyote atampaka hiyo dawa
 

Umri huu kupata mwanume inaweza kuwa ngumu japo inawezekana .

Hapa nazungumzia kumpata mwanaume wa kudumu .


So Kama anafanya biashara ajaribu either kuitangaza Sana ktk social network platforms

Then Kama anahitaji mwanaume then yeye Ana 39 yrs ajaribu kuwa closed na wanaume wenye age kuanzia 50+ hapo na Kama hajapata mtoto at that age inaweza kutokea birth complications .

Badala ya kusema habari za jini mahaba akae na wataalamu wa Saikolojia .

Dunia imebadilika you need to be smart .

Uchawi upo Ila matatizo ya waafrica asilimia kubwa yanatokana na akili zao psychological problem and not spiritual problem .walk with faith and mind and not faith only.
 
Aende kwa dogo Sharifu, yule sheikh aliyeanza kuuza maji na mafuta ya upako
 
MBona kafanya hivyoo
Hakuokoka, Mimi nilishakua Muhanga miaka 15 na siku niliyoamua kuachana na Matamanio ya Dunia hii, hayo Madude yalitafuta pa kwenda, na Wala sikuhangaika kuyaombea ama kuyakemea, Wala sikwenda kuombewa ilikua Mimi tu na Moyo...! Japo mwanzo nimezunguka Sana Kwa Waganga wengi mpaka nje ya Nchi, nimeombewa Sana mpaka Kwa Mwamposa ila haikusaidia...! Ilibidi Mimi mwenyewe niamue.

Watu wengi hapa hawana uzoefu na Hayo Madude zaidi ya kusikia story tu.

Kama kweli Ndugu yako ana changamoto, njoo in box tubadirishane namba, ntamsaidia tu Kwa kumpa Mwongozo na Yesu atamweka huru..!

Ipo sababu ya Kwa Nini ameshambuliwa na Mimi ntamfanya ajitambue Kiroho na itamsaidia kwenye safari yake...!

"Mti wenye Matunda ndo unaopigwa Mawe.
 
Umri huu kupata mwanume inaweza kuwa ngumu japo inawezekana .

Hapa nazungumzia kumpata mwanaume wa kudumu .


So Kama anafanya biashara ajaribu either kuitangaza Sana ktk social network platforms

Then Kama anahitaji mwanaume then yeye Ana 39 yrs ajaribu kuwa closed na wanaume wenye age kuanzia 50+ hapo na Kama hajapata mtoto at that age inaweza kutokea birth complications .

Badala ya kusema habari za jini mahaba akae na wataalamu wa Saikolojia .

Dunia imebadilika you need to be smart .

Uchawi upo Ila matatizo ya waafrica asilimia kubwa yanatokana na akili zao psychological problem and not spiritual problem .walk with faith and mind and not faith only.
You nailed it👊
 
Ajitahidi kutokua na tabia ya kulitangaza tangaza kwa mashoga zake kama ivo
La siivyo litaona analidharau akati ni bwana wake kwa sasa
Cc. Mshana Jr unahitajika huku mkuu
 
Aliyeokoka hanywi mafuta, kama ameokoka, aanze kuikataa hiyo roho chafu itakimbia, Neno linasema mpingeni shetani naye atawakimbia
Mpendwa, maneno haya wangeyajua wasingekunywa mafuta au maji ya nini sijui kama wanavyoaminishwa.
Kunywa mafuta ni ku intertain mapepo. Kukemea kwa JINA LA YESU ni kufukuza mapepo.
Tuwasaidie kwa maombi ili BWANA azigeuze nia zao mbaya.
AMEN.
 
Riziki
Mahusiano
Kukosa mume
Kuua walio karibu.

Kuna umri hasa mwanamke akiufikia bila kuwa na mtoto anaanza kuwa desperate na kuamini katika imani pekee bila kushirikisha akili.

Ni kweli haya mambo yapo Ila unhitaji kuishi kwa kuamini kuwa hayapo

Uchawi upo umeandikwa and people ,they practice Ila wewe binafsi unabidi u-assume kuwa uchawi haupo hii itakupa uhuru zaidi.

Kuna mambo mengi Sana yanweza kukutokea katika Maisha usipokuwa makini watu wanaweza kukutumia kupiga hela Kama wachungaji feki na waganga feki . so kuwa makini.
 
Akienda huoo kwenye ulokole ndiyo atakuwa amechochea moto.
Mlokole hana uwezo wa kumtoa jini, sana sana jini atakereka na makelele ya walokole.
Kuna shehe yeye anasema anayo dawa ya jini mahaba, dawa yake inatakiwa iwekwe sehemu za siri na anazipaka kwenye uume wake halafu anaingiza ili ziingie vizuri.
Kama yuko tayari amtafute Shehe yeyote atampaka hiyo dawa
Duhhh
 
Pole Dada! Dawa zipo utapona, ila Cha kwanza acha mahusiano na mtu yeyote for almost 6 months, ndipo uanze tiba yoyote utakayopatiwa.
 
Njoo nikutoe jini hilo halafu ndio maana halitoki.

Si useme tu kama ni wewe,maombezi yangu ukificha halitoki hilo jini
 
Wadau jamani tukiacha matani ni wapi mty aende akatolewe jini mahaba anasumbua sana kiasi cha kuua hata walio karibu na huyu dada mpaka nasasa amekuwa anaadhiri sana maisha yake.

Ikiwemo uchumba kuharibika na riziki pia kaombewa, kanywa mafuta kafanya kila kitu umri unaenda naombeni mumsaidie kwa wenye roho za huruma.
Huyu demu ni muislam?
 
Akienda huoo kwenye ulokole ndiyo atakuwa amechochea moto.
Mlokole hana uwezo wa kumtoa jini, sana sana jini atakereka na makelele ya walokole.
Kuna shehe yeye anasema anayo dawa ya jini mahaba, dawa yake inatakiwa iwekwe sehemu za siri na anazipaka kwenye uume wake halafu anaingiza ili ziingie vizuri.
Kama yuko tayari amtafute Shehe yeyote atampaka hiyo dawa
sasa si anamtomb** hapo
 
Akienda huoo kwenye ulokole ndiyo atakuwa amechochea moto.
Mlokole hana uwezo wa kumtoa jini, sana sana jini atakereka na makelele ya walokole.
Kuna shehe yeye anasema anayo dawa ya jini mahaba, dawa yake inatakiwa iwekwe sehemu za siri na anazipaka kwenye uume wake halafu anaingiza ili ziingie vizuri.
Kama yuko tayari amtafute Shehe yeyote atampaka hiyo dawa
Shekh Ngono huyu [emoji16]
 
Hayo madude huwa yanawafuata mabinti wenye uchu na ambao roho zao hazina ulinzi kiimani.

Nakumbuka miaka iliyopita 199+kuna binti mmoja wa singida alikuwa nalo, yaani alikuwa hakosi kitu anachotaka ila hatakiwi kuwa na boyfriend nje ya hilo dude.

Ila nilikuja kupata taarifa lilimuacha na sasa kaolewa na ana watoto na maisha ni bulibuli.

NofP; Linapokuja ndotoni alichane makavu na kulitupia the power of Jesus Christ halitarudi, vinginevyo ndotoni akiwa anawaza uroda wake na linavyomsg#€§£πa haliwezi kuondoka.

In the name of Jesus son of Heaven Father...
Sio kweli...!
Wengi mnaandika tu Kwa story za kuskia.....!
 
Hiyo show sio ya kuingilia labda jini kapelekwa kwa mpalange ndio kagomea huko huko.......asikii aambiwi ..........asikii la mnadi swala wala la mhazini
 
Back
Top Bottom