Mzalendo 090
Member
- Jan 15, 2014
- 22
- 7
Habarini Jamani.Naombeni ushauri wenu.
Nipo kwenye mahusiano na msichana mmoja ambae amesoma MVUMI DCT Chuo cha Manesi na Wauguzi Wasaidizi.Juma lililopita alikua akiniambia anawashwa/anasikia ------(Anus) wake/yake INAMUWASHA.Nilishituka kidogo.Aliniambia eti anahc kama kumechubuka.Haikupita hata siku 2 kuna dawa naona anatumia kwa KUZISOKOMEZA MKUNDUNI.NI VIDONGE NA CAPSULES.Nimeshituka kwa sababu ninahisi kuna mtu alimpa 0713......NAOMBENI USHAURI WENU,HUYU DADA ATAKUA NA MATATIZO GANI?Nikimuuliza haniambii kabisa.Ahsanteni.
Nipo kwenye mahusiano na msichana mmoja ambae amesoma MVUMI DCT Chuo cha Manesi na Wauguzi Wasaidizi.Juma lililopita alikua akiniambia anawashwa/anasikia ------(Anus) wake/yake INAMUWASHA.Nilishituka kidogo.Aliniambia eti anahc kama kumechubuka.Haikupita hata siku 2 kuna dawa naona anatumia kwa KUZISOKOMEZA MKUNDUNI.NI VIDONGE NA CAPSULES.Nimeshituka kwa sababu ninahisi kuna mtu alimpa 0713......NAOMBENI USHAURI WENU,HUYU DADA ATAKUA NA MATATIZO GANI?Nikimuuliza haniambii kabisa.Ahsanteni.