MSAADA: Anaye jua biashara ya kuagiza magari kutoka Japan anijuze

MSAADA: Anaye jua biashara ya kuagiza magari kutoka Japan anijuze

expter

New Member
Joined
Nov 30, 2020
Posts
2
Reaction score
9
MSAADA : Habari wana jamvi la biashara; Nina rafiki yangu yupo japani anauza magari kwenye kampuni moja hivi, sasa ameniambia nitafute wateja atanilipa kwa commision, uwezo wa kutafuta wateja ninao coz nimefanya masoko kwenye makampuni mbalimbali lakini sijawahi kufanya biashara ya magari. Mwenye ujuzi na biashara kama hizi naomba anijuze taratibu za biashara hii. Nipo serious nahitaji ushauri wa kweli
 
Ujuzi wa nini mkuu?
Yeye si amekwambia tu utafute wateja? Cheki na watu mbali mbali wafanyakazi au hata hao ma dealer wengine wanaweza kukutumia wewe kupitia huyo jamaa yako.

Ila huyo jamaa uwe na uhakika nae vinginevyo utakuingiza kingi na watu wanakujua wewe utaumia.
 
Ma agent wengi wa magari matapeli wanaleta gari tofauti na matakwa ya mteja kuna uncle wangu aliagiza Nissan dual inashinda kwa fundi mda wote
 
Back
Top Bottom