mr iko press
Member
- Jan 3, 2015
- 56
- 3
Ikiwa zimebaki siku 37 tufanye mtihani wa kidato cha sita. kuna tetesi kwamba huenda suala la kujiunga na JKT lisiwepo, mimi nashindwa kuelewa kuwa mtu ajiandae kwenda jeshi au kufanya mambo mengine. kama kuna mtu mwenye taarifa kuhusu hili anijuze,