Msaada: Anayejua bei kwa Tsh ya hii toy anisaidie

sijaelewa

Senior Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
101
Reaction score
56
Tafadhali kwa anayejua bei kwa tsh ya mashine hii anisaidie, inaitwa 'educational laptop learning toy.

 
Mkuu kwema??
Na Tablets za watoto za Wi-Fi na/au za Line zinaweza kupatikana kwa kiasi gani mpaka zafika Dar??
Niko tayari kusaidia mtu yeyote anayetaka kuagiza kitu nje bila faida ambazo wengine wanaongeza, ili mladi ulipe shipping cost mwenyewe from UK to Dar. Price ya shipping utalipa mwenyewe Dar. Naona watu wengine wanataka kutengeneza faida yakuumiza! Sasa mimi nawatumia bila faida. Kazi kwenu.
 
Niko tayari kusaidia mtu yeyote anayetaka kuagiza kitu nje bila faida ambazo wengine wanaongeza, ili mladi ulipe shipping cost mwenyewe from UK to Dar. Price ya shipping utalipa mwenyewe Dar. Naona watu wengine wanataka kutengeneza faida yakuumiza! Sasa mimi nawatumia bila faida. Kazi kwenu.
 
Thanks,
So Wewe utasaidia kwenye Upande upi zaidi??
 
Thanks,
So Wewe utasaidia kwenye Upande upi zaidi??
Mkuu! Mimi na access ya kununua chochote katika nchi yeyote! Nitakupa contact ya kwenda chukua mzigo wako ukifika bila malipo ya ziada. Wewe ni kwenda kubeba mzigo wako tu. Utakacho takiwa ni kulipa advance payment.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…