Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Wajamen! Ninasumbuliwa na Malaria isiyoisha. Kila baada ya cku mbili nakunywa dawa za Malaria (metakefin) na hata naweza tumia dawa mseto dozi mbili but where!
So anayejua dawa ya kutibu Malaria sugu naomba anitaarifu.
So anayejua dawa ya kutibu Malaria sugu naomba anitaarifu.