Msaada anayejua upatikanaji wa mashine za kamari zile za kuweka 200

Msaada anayejua upatikanaji wa mashine za kamari zile za kuweka 200

kikoozi

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2015
Posts
2,094
Reaction score
3,108
Hbarini ndugu, nataka kujua zile machine za kichina za kuweka sh mia 200 ya salafu zinapatikana vipi, nataka mimi ndio niwe mmliki na muendeshaji, uwa naona wachina ndio wanazifunga maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam, sasa naombeni mwenye kujua yafuatayo

1. Upatikanaji wake?
2. Uataratibu wa uendeshaji wake?
3. Kama Tanzania hakuna wanapo ziuza je nje ya nchi kuzinunua ni sh ngapi?

karibuni.
 
Hbarini ndugu, nataka kujua zile machine za kichina za kuweka sh mia 200 ya salafu zinapatikana vipi, nataka mimi ndio niwe mmliki na muendeshaji, uwa naona wachina ndio wanazifunga maeneo mbalimbali ya jiji la dar es salaam, sasa naombeni mwenye kujua yafuatayo...
Unawapigia simu , wanakuja wanaangalia eneo, kama wakirizika nalo, wanakupatia mashine,

Utaratibu wa kuiendesha ni wewe muhusika kama unakodi fremu, utalipia kodi , na umeme wewe mwenyewe, wao gawio lao ni 40%, ndio wakija kufungua.

Pesa wanayoikuta kwenye mashine mtagawana hivyo, wao 60% wewe 40%.chenji watakuachia coins za 120, 000.zikiisha unawapigia simu wanakuja kukupa nyingine.japo kuna wakati wanakuwa wahuni kwenye mgao lakini sio haba.
 
Huwezi kupewa umiliki wa zile mashine! Tenda kapewa mchina akishirikiana na watu flani wakubwa tu wa chama cha makinikia!! Usinangaike,utapoteza muda au utapotezwa
Usipotoshe mkuu, ile ni biashara kama biashara nyingine tu, fuata utaratibu unapata leseni, kwani mbona kuna makampuni mengi tu yenye kufanya biashara hiyo Dar? Labda inshu iwe kuzinunua huko kwao kwani naona zote zinatoka china, lakini hapa uki timiza masharti tu unafanya biashara.
 
Mwenye kujua nazipataje zile machine na utaratibu wa kupata kibari upoje
 
Usipotoshe mkuu, ile ni biashara kama biashara nyingine tu, fuata utaratibu unapata leseni, kwani mbona kuna makampuni mengi tu yenye kufanya biashara hiyo Dar? Labda inshu iwe kuzinunua huko kwao kwani naona zote zinatoka china, lakini hapa uki timiza masharti tu unafanya biashara.
Sio rahisi , jamaa kasema ukweli , bonanza ni mradi wa wakubwa , na umetapakaa nchi nzima
 
Unawapigia simu , wanakuja wanaangalia eneo, kama wakirizika nalo, wanakupatia mashine,
Utaratibu wa kuiendesha ni wewe muhusika kama unakodi fremu, utalipia kodi , na umeme wewe mwenyewe, wao gawio lao ni 40%, ndio wakija kufungua , pesa wanayoikuta kwenye mashine mtagawana hivyo, wao 60% wewe 40%.chenji watakuachia coins za 120, 000.zikiisha unawapigia simu wanakuja kukupa nyingine.japo kuna wakati wanakuwa wahuni kwenye mgao lakini sio haba.
Kasema anataka amiliki zake mwenyewe kwa kuzinunua na kuzisajiri,. maelezo uliyompa ni ya kukodi.
 
Ndugu nakushauri Jaribu Kufanya shughuli nyingine... Hi Siyo biashara Bali Ni uporaji wa wazi wa Uchumi wetu unaofanywa na Wachina (mabeberu majizi ya kichina) kwa Kushirikiana na Serikali inayowapa vibali bila kuangalia kwa undani shughuli yenyewe kwa kisingizio Cha Kodi. Hapa hakuna kinachozalishwa Bali Ni wizi wa mchana peupe.. !!!

Kama ingenibidi kuwa gaidi Basi kazi yangu ingekuwa Kulipua hizi mashine kabisa zitoke humu nchini. Kwa utafiti niliofanya na Elimu yangu ya Kibaba Ni wazi kabisa Pesa za nchi zinapotea kwenda China kwa Sababu Jaribu kufikiri ile Siyo Huduma ya kijamii mtu aseme amewekeza Bali mtu analeta mashine, Kisha labda mtaji Ni sarafu za thamani labda ya laki tatu(300,000/=) Maanake yule msimamizi atauza kwa wateja(Mazombi ya Kitanzania) Kisha wale wateja watadumbukiza zitaliwa zote Kisha Yule msimamizi atakuwa na Noti..

Ataita wachina watakuja na funguo watatoa zile sarafu Halafu, Watachukua Noti na kumwachia msimamizi ukoko (fedha kidogo) Kisha Sarafu zitaendelea kuuzwa kwa Wateja Tena. Kwa Hiyo mzunguko utaendelea kuwa huohuo... Pesa za nchi zitaendelea kupotea kwa staili hiyo Huku mchina akizibadili kuwa Dola anatuma kwao.

Zinazobaki anakula na kuishi Raha mstarehe humu nchini akiendelea Kuvuna asipopanda. Kuna nchi zimepiga marufuku huu upuuzi lakini kwetu hapa sijui Nani wa kukutoa humu shimoni..Nawaza nijaribu kumuona Mbunge nimshirikishe hili Jambo labda ataweza kusema chochote.
 
Nitafute nikuelekeze pakupata hizi Mashine Nairobi, ila uwe tayari kulipia ushuru wa Forodha na kama utakula chocho border, do at your own Risk!!
 
Unawapigia simu , wanakuja wanaangalia eneo, kama wakirizika nalo, wanakupatia mashine,

Utaratibu wa kuiendesha ni wewe muhusika kama unakodi fremu, utalipia kodi , na umeme wewe mwenyewe, wao gawio lao ni 40%, ndio wakija kufungua.

Pesa wanayoikuta kwenye mashine mtagawana hivyo, wao 60% wewe 40%.chenji watakuachia coins za 120, 000.zikiisha unawapigia simu wanakuja kukupa nyingine.japo kuna wakati wanakuwa wahuni kwenye mgao lakini sio haba.
Wachina gani wanaogawa hela kwq style hio namimi nikachukue dongolo kwao?

Maana kuna jamaa yangu alikuwaga nalo akimaliza trey moja ya elfu 60 commission yake ni 9000. Akimaliza 2 commission ina double na ili umalize tray unatakiwa kuwa na watu kweli kweli
 
Hbarini ndugu, nataka kujua zile machine za kichina za kuweka sh mia 200 ya salafu zinapatikana vipi, nataka mimi ndio niwe mmliki na muendeshaji, uwa naona wachina ndio wanazifunga maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam, sasa naombeni mwenye kujua yafuatayo

1. Upatikanaji wake?
2. Uataratibu wa uendeshaji wake?
3. Kama Tanzania hakuna wanapo ziuza je nje ya nchi kuzinunua ni sh ngapi?

karibuni.
Yale madude yanauzwa china huko ila ukitaka uyalete bongo uyagawe mitaani lazima upate baraka za Tanzania Gaming Board.

Zaidi ya hapo sifahamu ila ukicheki mtandao wa Alibaba yapo mle.
 
Back
Top Bottom