Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini unamuambia atafute biashara nyingine ..au ni njia za kuwatoa kwenye reli wanaotaka kufanya ili mnaofanya muendelee kula kuku kwa mrija kupitia hio hio biashara?/
Kweli Kabisa mi nshawahi kuwa nalo, hiyo ndo commission yaoWachina gani wanaogawa hela kwq style hio namimi nikachukue dongolo kwao?
Maana kuna jamaa yangu alikuwaga nalo akimaliza trey moja ya elfu 60 commission yake ni 9000. Akimaliza 2 commission ina double na ili umalize tray unatakiwa kuwa na watu kweli kweli
Mwache mtu afanye anachotaka, Acha kupangia watu maishaMkuu cheki Nyuma hapo nimekoment madhara yake kwa kina. Angalia post ya mwanzo nadhani utaelewa kiasi
Ntumie picha inbox nijue nakusaidiajeMimi nimeiba 4 ila tatizo zinaisha mizunguko so wana ka remote kakuzungusha kurewind michezo nyuma so imekula kwangu
Mkuu msaada,. Kuhusu kupata vibali vya kuendesha shughuli za michezo ya kubahatisha alimaarufu bonanza,sloat machine ningependa kujua namna ya kupata baraka ya serikali pamoja na gharama zake?Nicheki nikupe Contact ya direct
Hiyo michezo inasimamiwa na Wizara ya michezo kupitia BAHATI NASIBU ofisi ziko habour view karibu na stesheni.. Kikubwa ni leseni ya biashara na mtaji mashine zipo za kila ainaMkuu msaada,. Kuhusu kupata vibali vya kuendesha shughuli za michezo ya kubahatisha alimaarufu bonanza,sloat machine ningependa kujua namna ya kupata baraka ya serikali pamoja na gharama zake?
Natanguliza shukran kwako kaka ,,mshana Jr,,
Kws hiyo nikimaliza hizo taratib zote mashine nainunulia Tanzania kwamba yapo maduka au mpaka connectionHiyo michezo inasimamiwa na Wizara ya michezo kupitia BAHATI NASIBU ofisi ziko habour view karibu na stesheni.. Kikubwa ni leseni ya biashara na mtaji mashine zipo za kila aina
Siyo Kila afanyacho mtu ni sahihi. Ungekuwa na Akili kidogo ungeona madhara Yake Kwa Jamii na taifa Kwa ujumla. Na nikuambie tuu Juzi tuu Hapa tumepoteza mama wa watoto wanne chanzo kikiwa hizo mashine.Mwache mtu afanye anachotaka, Acha kupangia watu maisha
Kws hiyo nikimaliza hizo taratib zote mashine nainunulia Tanzania kwamba yapo maduka au mpaka connection
Ndugu nakushauri Jaribu Kufanya shughuli nyingine... Hi Siyo biashara Bali Ni uporaji wa wazi wa Uchumi wetu unaofanywa na Wachina (mabeberu majizi ya kichina) kwa Kushirikiana na Serikali inayowapa vibali bila kuangalia kwa undani shughuli yenyewe kwa kisingizio Cha Kodi. Hapa hakuna kinachozalishwa Bali Ni wizi wa mchana peupe.. !!!
Kama ingenibidi kuwa gaidi Basi kazi yangu ingekuwa Kulipua hizi mashine kabisa zitoke humu nchini. Kwa utafiti niliofanya na Elimu yangu ya Kibaba Ni wazi kabisa Pesa za nchi zinapotea kwenda China kwa Sababu Jaribu kufikiri ile Siyo Huduma ya kijamii mtu aseme amewekeza Bali mtu analeta mashine, Kisha labda mtaji Ni sarafu za thamani labda ya laki tatu(300,000/=) Maanake yule msimamizi atauza kwa wateja(Mazombi ya Kitanzania) Kisha wale wateja watadumbukiza zitaliwa zote Kisha Yule msimamizi atakuwa na Noti..
Ataita wachina watakuja na funguo watatoa zile sarafu Halafu, Watachukua Noti na kumwachia msimamizi ukoko (fedha kidogo) Kisha Sarafu zitaendelea kuuzwa kwa Wateja Tena. Kwa Hiyo mzunguko utaendelea kuwa huohuo... Pesa za nchi zitaendelea kupotea kwa staili hiyo Huku mchina akizibadili kuwa Dola anatuma kwao.
Zinazobaki anakula na kuishi Raha mstarehe humu nchini akiendelea Kuvuna asipopanda. Kuna nchi zimepiga marufuku huu upuuzi lakini kwetu hapa sijui Nani wa kukutoa humu shimoni..Nawaza nijaribu kumuona Mbunge nimshirikishe hili Jambo labda ataweza kusema chochote.
Mkuu fungua pm yako tafadhali Nina shida na bonazaNicheki nikupe Contact ya direct
Mkuu Mshana Jr fungua PM yako nina jambo la msingi nataka tuzungumzeNicheki nikupe Contact ya direct
Mkuu naomba nitumie hayo mawasiliano, Asante.Nicheki nikupe Contact ya direct