Msaada anayejua upatikanaji wa mashine za kamari zile za kuweka 200

Mkuu cheki Nyuma hapo nimekoment madhara yake kwa kina. Angalia post ya mwanzo nadhani utaelewa kiasi
Kwanini unamuambia atafute biashara nyingine ..au ni njia za kuwatoa kwenye reli wanaotaka kufanya ili mnaofanya muendelee kula kuku kwa mrija kupitia hio hio biashara?/
 
Kweli Kabisa mi nshawahi kuwa nalo, hiyo ndo commission yao
 
Hayoo madude naona Kenya ndo yanapatikana. waliyakataza kama nakumbuka vizuri ukiwa nalo unamiliki mwenyewe ndo utapata pesa.
 
Nicheki nikupe Contact ya direct
Mkuu msaada,. Kuhusu kupata vibali vya kuendesha shughuli za michezo ya kubahatisha alimaarufu bonanza,sloat machine ningependa kujua namna ya kupata baraka ya serikali pamoja na gharama zake?

Natanguliza shukran kwako kaka ,,mshana Jr,,
 
Mkuu msaada,. Kuhusu kupata vibali vya kuendesha shughuli za michezo ya kubahatisha alimaarufu bonanza,sloat machine ningependa kujua namna ya kupata baraka ya serikali pamoja na gharama zake?

Natanguliza shukran kwako kaka ,,mshana Jr,,
Hiyo michezo inasimamiwa na Wizara ya michezo kupitia BAHATI NASIBU ofisi ziko habour view karibu na stesheni.. Kikubwa ni leseni ya biashara na mtaji mashine zipo za kila aina
 
Hiyo michezo inasimamiwa na Wizara ya michezo kupitia BAHATI NASIBU ofisi ziko habour view karibu na stesheni.. Kikubwa ni leseni ya biashara na mtaji mashine zipo za kila aina
Kws hiyo nikimaliza hizo taratib zote mashine nainunulia Tanzania kwamba yapo maduka au mpaka connection
 
MKuu sikushauri Tafadhali... Tumefanya utafiti wa kina madhara Yake ni makubwa Sana katika Jamii... Ni vile hatuna viongozi wenye macho vinginevyo Hii michezo inayozuka Kwa Kasi ya kubahatisha ingeshapigwa marufuku mapema Sana. Lakini kisingizio ni Kodi.
Kws hiyo nikimaliza hizo taratib zote mashine nainunulia Tanzania kwamba yapo maduka au mpaka connection
 
 
Sloat machine
Under gaming board of tz (GBT)
WITH Route operation
Motherboard
Coin selector
Power supply
Madaha

Basi nikikumbuka nacheka mwenyew [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aweee, Mr ling, [emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…