Msaada: Anayejuwa zilipo ofisi za UMATI kwa Dar

Msaada: Anayejuwa zilipo ofisi za UMATI kwa Dar

Akili 2

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2018
Posts
1,221
Reaction score
1,849
Habari zenu,
Naombeni msaada anayejuwa zilipo ofisi za Chama Cha Uzazi na Malezi Bora (UMATI) ofisi kuu anipe maelekezo nafikaje hapo mie nipo Gongo la mboto,, Naombeni msaada nahitaji kufika kesho

Asanteni
 
Braza hizi smatfone tuzitumie japo kidogo nje ya vile tumezoea mf;FB Insta na hata Jf,ukiingia Google Map vyote dunia ya sasa unavipata nimekusaidia hapo ila nadhani hii no head office hapa ina maana utafika mpaka diamond jubilee au utauliza kwa raia ilipo hiyo barabara ya Malik naamini ukiuliza watu watano kwa ukarimu wa Watanzania utakuwa umeshapapata ila wana tawi Temeke Google wanaonyesha chagua pakwenda.
IMG_20191217_002043.jpg
Screenshot_2019-12-17-00-19-12-596_com.google.android.apps.maps.jpg

Na namba ya simu umewekewa hapo.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom