Msaada: APP ya Simba haifunguki

Msaada: APP ya Simba haifunguki

mwilawi

Senior Member
Joined
Oct 13, 2013
Posts
139
Reaction score
89
App ya simba iliyozinduliwa juzi mbona haifunguki au kuna namna ya kuifungua. Tafadhari mulioifungua tupeni njia.
 
Unalipiaje wakati haifunguki ?

Elekeza basi inapatikana vipi.

Kwangu pia haifungiki pesa ipo ya kulipia nafanyeje ?
Mkuu app ya Simba inafunguka vizuri sana,inawezekana uliyodownload siyo halisi,sina utaalamu ningekutumia hiyo app,pia jaribu kuwa na stable network!
 
Mkuu app ya Simba inafunguka vizuri sana,inawezekana uliyodownload siyo halisi,sina utaalamu ningekutumia hiyo app,pia jaribu kuwa na stable network

Mkuu app ya Simba inafunguka vizuri sana,inawezekana uliyodownload siyo halisi,sina utaalamu ningekutumia hiyo app,pia jaribu kuwa na stable network!
Hiyo halisi inapatikanaje
 
Ziko fake nyingi cheki halisi nafikir iko created na henet technology co
 
Mwenye link atusaidie

IMG_2297.png


Kama unatumia play store search hiyo hapo but kama ni App store ipo moja tu na ndiyo hiyo genuine.Kila la heri
 
Play Store kuna App nyingi sana zinasoma Simba. Fake zinagoma kufunguka. Nenda page ya Simba iko link itakupeleka App iko poa tu tena fasta
 
Smba SC #NguvuMoja App ndio jina sahihi la App ya Simba, mengine yote ni feki.
 
Hii App bado haija andaliwa vizuri, mwenye anayeitumia atauambie hapa ali ipataje.
 
Back
Top Bottom