Msaada:APPLICATION ya Chuo kwa mtu aliye disco chuo au aliyesimama masomo.

Msaada:APPLICATION ya Chuo kwa mtu aliye disco chuo au aliyesimama masomo.

Kiraka Kikuu

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
5,903
Reaction score
1,979
Wakuu,kichwa cha habari kinahusika.
Naomba nisaidiwe,kuna ndugu yangu aliugua mwaka 2011 na alikuwa mwaka wa kwanza UDSM.
Hakufanya mtihani wa semister ya kwanza,na kwenye ARIS inaonesha ame Disco as a result of absconding of courses.
Tulipeleka barua zote za hospitali,ila sasa anataka aaply upya vyuo vingine.
1:Je,anaweza kupata admission?
2:Je,anaweza kupata mkopo?
Ahsanteni.
 
Wasiliana moja kwa moja na hivyo vyuo anavyotaka kutuma maombi ya udahili.
 
aombe kwa tcu na aaply mkopo atapata tu, ila kama hyo semister alikula mkopo jtayarisheni pesa kiasi kwa ajili ya kulipia huo mkopo cna hakika ni asilimia ngapi atalipia. Kila la kheri
 
Wakuu,kichwa cha habari kinahusika.
Naomba nisaidiwe,kuna ndugu yangu aliugua mwaka 2011 na alikuwa mwaka wa kwanza UDSM.
Hakufanya mtihani wa semister ya kwanza,na kwenye ARIS inaonesha ame Disco as a result of absconding of courses.
Tulipeleka barua zote za hospitali,ila sasa anataka aaply upya vyuo vingine.
1:Je,anaweza kupata admission?
2:Je,anaweza kupata mkopo?
Ahsanteni.

nina tatizo km lako mkuu,kama kuna thread umeiona,nem wakusepa.inaomb ushaur kwa wana jf.tafadhar same issue ntwangie kwenye 0757693672 tupate solution hapo.ahsante
 
Wakuu,kichwa cha habari kinahusika.
Naomba nisaidiwe,kuna ndugu yangu aliugua mwaka 2011 na alikuwa mwaka wa kwanza UDSM.
Hakufanya mtihani wa semister ya kwanza,na kwenye ARIS inaonesha ame Disco as a result of absconding of courses.
Tulipeleka barua zote za hospitali,ila sasa anataka aaply upya vyuo vingine.
1:Je,anaweza kupata admission?
2:Je,anaweza kupata mkopo?
Ahsanteni.

hata hvo najaribu kupata mawasiliano ya huyu dr.kitila mkumbo,i hed is a final solution kwa matatizo km haya ya kwetu.
 
aombe tcu kama wengine na mkopo kama wengine kwa yeyote aliedsco na alieacha chuo ila kama alikula mkopo ajiandae kurudisha asilimia 25 na exprnc hyo ni mhanga wa jambo hlo na sasa nipo chuon naendelea na xul
 
KAKA MWAMBIE AJARIBU KUOMBA NADHANI ATAFANIKISHE. LAKINI ASITHUBUTU KUOMBA CHUO ALICHOKUA ADMITTED BEFORE.:laugh::laugh::laugh:
 
Atalipa 25% mkuu,binafsi nilfanya hvyo na sasa nipo sua baada ya kuacha ardhi!
 
Back
Top Bottom