mwenebhukabo
Member
- Mar 2, 2014
- 24
- 11
Wataalamu naombeni msaada nina mama yangu hapa ametapika sana usiku huu.haumwi na chakula alichokula ndiyo tumekula familia nzima,isipokua kwake yeye imekua tofauti katapika sana.
Ila pia tatizo baada ya kutapika ni kama alivuta kupitia njia ya hewa.sasa hapo ndipo panamsumbua.vinamkosesha raha vinamsumbua sana.japo hajatapika tena.
Je ni njia gani ya kuweza kurejesha hali sawa.hasa baada ya kupita njia ya hewa.
NAOMBENI MSAADA..
Ila pia tatizo baada ya kutapika ni kama alivuta kupitia njia ya hewa.sasa hapo ndipo panamsumbua.vinamkosesha raha vinamsumbua sana.japo hajatapika tena.
Je ni njia gani ya kuweza kurejesha hali sawa.hasa baada ya kupita njia ya hewa.
NAOMBENI MSAADA..