Pole sana kwa kuuguza. Ni vigumu sana kumsaidia bila kwanza kujua chanzo cha tatizo. Swali : Amefanyiwa uchunguzi hospital yenye mabingwa na vipimo vizuri? Kama anatabiwa hospital ndogo ni vigumu kufahmu tatizo! Anaweza kuwa na hitilafu kwenye ubongo eg uvimbe au anaweza kuwa na tatizo jingine kabisa. Msema kweli ni hospital. Kama uko Dar mpeleke sehemu kama Muhimbili, Agakhan au TMJ apate vipimo.Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza wapendwa wangu wana Gf wezangu :
Baba yangu ni mgonjwa yapata miaka mitatu,matibabu amepatiwa bila mafanikio,na anatibiwa kw kubahatisha kwani ugonjwa haujalikani.ugonjwa wake ni kuanguka na kukakamaa mwili huku akisaga meno,tatizo hili humtokea baada ya mwezi au miezi miwili.
Naombeni msaada wenu wa mawazo,ushauri kujua ni tatizo gani au kama kuna mtu alisha wahi uguza mgonjwa wa hivi.
Ni zaidi ya maumivu kwangu kumwona Baba vile nisaidieni Ndugu zangu asanteni.
Ikonda walipomchunguza kichwani kw x-ray hawakuona chochote zaidi walitoa dawa kuahidi wanapeleka picha India kwa uchunguzi zaidiPole sana kwa kuuguza. Ni vigumu sana kumsaidia bila kwanza kujua chanzo cha tatizo. Swali : Amefanyiwa uchunguzi hospital yenye mabingwa na vipimo vizuri? Kama anatabiwa hospital ndogo ni vigumu kufahmu tatizo! Anaweza kuwa na hitilafu kwenye ubongo eg uvimbe au anaweza kuwa na tatizo jingine kabisa. Msema kweli ni hospital. Kama uko Dar mpeleke sehemu kama Muhimbili, Agakhan au TMJ apate vipimo.
Ikonda ndio hospital ya wapi mkuu? Mimi kama nilivyokushauri nenda naye hospital yenye madokta bingwa. Hiyo hospital uliyotaja sijawahi kuisikia hivyo na-assume ni hospiital ndogo (labda uniambie vinginevyo). Na x-ray kutoonyesha kitu haina maana sana kwani kwa udadisi wangu najua kuwa hospital nyingi za Tanzania zinatumia vyombo vya zamani, au wapimaji hawana utaalam. Kwa kifupi usiamini vipimo vya hizi hospital ndogo.Ikonda walipomchunguza kichwani kw x-ray hawakuona chochote zaidi walitoa dawa kuahidi wanapeleka picha India kwa uchunguzi zaidi
kaka ile ikonda ni jina tu hamna kitu wanavifaa vizuri lakini hamna madaktari bingwa wengi wa madaktari ni hao waliomaliza degree moja,mpeleke baba mhimbili hta hizo private za aghakana,TMJ,kairuki na nyinginezo wana vifaa vizuri lakini madaktari hamna madaktari wengi wanategemea wa mhimbili.Ametibiwa hospitali mbalimbali mojawapo ni ikonda tulisikia kuna Huduma nzuri tukampeleka
Kulingana na maelezo yako nadhani tatizo kubwa ni kuwa hajatibiwa na wataalam wenye kueleweka na kupata vipimo sahihi!Ametibiwa hospitali mbalimbali mojawapo ni ikonda tulisikia kuna Huduma nzuri tukampeleka
XRay au CT scan?? Nenda kwenye hospital kubwa yenye vipimo kama CT scan Ila xray haiwezi toa majibu sahihi sanaIkonda walipomchunguza kichwani kw x-ray hawakuona chochote zaidi walitoa dawa kuahidi wanapeleka picha India kwa uchunguzi zaidi
ipo mkoa wa njombe wilaya ya makete kama usemavyo katika hospital hiyo wapimaji vipimo utalamu wao ni mdogo wengi ni certificates holders na ma doctors nao no degree holdersIkonda ndio hospital ya wapi mkuu? Mimi kama nilivyokushauri nenda naye hospital yenye madokta bingwa. Hiyo hospital uliyotaja sijawahi kuisikia hivyo na-assume ni hospiital ndogo (labda uniambie vinginevyo). Na x-ray kutoonyesha kitu haina maana sana kwani kwa udadisi wangu najua kuwa hospital nyingi za Tanzania zinatumia vyombo vya zamani, au wapimaji hawana utaalam. Kwa kifupi usiamini vipimo vya hizi hospital ndogo.
Asante Mkuu,tutajaribuipo mkoa wa njombe wilaya ya makete kama usemavyo katika hospital hiyo wapimaji vipimo utalamu wao ni mdogo wengi ni certificates holders na ma doctors nao no degree holders
XRay au CT scan?? Nenda kwenye hospital kubwa yenye vipimo kama CT scan Ila xray haiwezi toa majibu sahihi sana
Tanzania ni hopital chache sana zenye madokta na vipimo vizuri. Nyingi ni hovyo. Kwa mafano kuna hospital moja inaitwa Rabininsia Memorial Hospital ukifanya mchezo na vipimo vyao mgonjwa wako anaondoka. Ina jengo zuri na ukiiangalia kwa nje utadhani ni bonge la hospital, Jaribu matibabu hasa vipimo vyao uone! Maabara yao ina vilaza kishenzi.Ikonda ndio hospital ya wapi mkuu? Mimi kama nilivyokushauri nenda naye hospital yenye madokta bingwa. Hiyo hospital uliyotaja sijawahi kuisikia hivyo na-assume ni hospiital ndogo (labda uniambie vinginevyo). Na x-ray kutoonyesha kitu haina maana sana kwani kwa udadisi wangu najua kuwa hospital nyingi za Tanzania zinatumia vyombo vya zamani, au wapimaji hawana utaalam. Kwa kifupi usiamini vipimo vya hizi hospital ndogo.
Ni kweli ipo eneo husika,kw sasa yupo moshi,vipi kuhusu KCMCipo mkoa wa njombe wilaya ya makete kama usemavyo katika hospital hiyo wapimaji vipimo utalamu wao ni mdogo wengi ni certificates holders na ma doctors nao no degree holders
ninahisi kwa hilo tatioz vitahitajika vipimo vya CT can au MRI sasa sijui kama KCMC wananvyoNi kweli ipo eneo husika,kw sasa yupo moshi,vipi kuhusu KCMC
Kifafa mkuu hiyo ilimtokeaga dadaake na rafiki yangu na alipona kwa tiba za jadi japo amefariki kwa ugonjwa mwingine kabisa,alikuwa anang'ata na kutafuna hadi mchangaKama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza wapendwa wangu wana JF wenzangu :
Baba yangu ni mgonjwa yapata miaka mitatu,matibabu amepatiwa bila mafanikio,na anatibiwa kwa kubahatisha kwani ugonjwa haujalikani.
Ugonjwa wake ni kuanguka na kukakamaa mwili huku akisaga meno,tatizo hili humtokea baada ya mwezi au miezi miwili.
Naombeni msaada wenu wa mawazo,ushauri kujua ni tatizo gani au kama kuna mtu alisha wahi uguza mgonjwa wa hivi.
Ni zaidi ya maumivu kwangu kumwona Baba vile nisaidieni Ndugu zangu asanteni.
Anasukari??? Huu ni ugonjwa wa sukari muangalie sukari kama anayo itakuwa chanzo.Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza wapendwa wangu wana JF wenzangu :
Baba yangu ni mgonjwa yapata miaka mitatu,matibabu amepatiwa bila mafanikio,na anatibiwa kwa kubahatisha kwani ugonjwa haujalikani.
Ugonjwa wake ni kuanguka na kukakamaa mwili huku akisaga meno,tatizo hili humtokea baada ya mwezi au miezi miwili.
Naombeni msaada wenu wa mawazo,ushauri kujua ni tatizo gani au kama kuna mtu alisha wahi uguza mgonjwa wa hivi.
Ni zaidi ya maumivu kwangu kumwona Baba vile nisaidieni Ndugu zangu asanteni.