Akapime kwanza magonjwa yote.afu uje tena hapa kuleta feedback.
Tatizo la kifua. Mtu akikoa mfululizo wiki 2 akimbilie kitengo maalum cha kifua kikuu TB kabla hali haijawa mbaya Ndugu.
asanteni jamani, amepima TB hana.
Kisukari anacho? nijibu tafadhari
Mucolin ni dawa ya watoto,wengi huuzia watu dawa ili wapate hela tu,nenda kwenye pharmacy yoyote,ulizia dawa inaitwa Menthodex,itamsaidia,japo bei yake iko juu kidogo.kuna nyingine ina box la njano,imechorwa simba,nayo ni nzuri,nimelisahau jina lake.
exactly,Cadiphen....kuna menthodex za maji,sio vile vipipi,mimi huwa inanitibu vizuri mno.Menthodex sio dawa mkuu, ile ni Kama cofta! Hiyo ya box la njano uliyosema inaitwa cadiphen. Ni nzuri sana.
Kaka Fadhili ni kweli baba yangu ana kisukari karibu miaka kumi na mbili sasa ana tatizo la kisukari. Samahani nimechelewa kujibu.
Mpe pole sana, MIAKA 12 anaumwa tu. Inaniuma sana. Fanya yafuatayo:
1. Soma maelezo katika link ifuatayo ujifunze kwanza kisukari ni nini, na kwanini kisukari hakitibiki hospitalini, Bonyeza: Kisukari/Diabetes | maajabuyamaji.net
2. Utakwenda pia kujifunza namna ya kutumia maji kujitibu na kila ugonjwa ikiwemo kisukari katika link hii, bonyeza: Jitibu kwa kutumia maji | maajabuyamaji.net
Ningependa pia kujuwa upo mkoa gani tz
Asante sana kaka Fadhili kwa mchango wako. Mimi nipo Dar es Salaam, Iila baba yangu yupo Moshi maeneo ya Msasani CCBRT.