Wanajamii naombeni msaada. Baba yangu anakohoa mfululizo kikohozi kikavu, ameshaeenda hospitali akapewa mucolin ametumia amemaliza lakini bado tu. Akarudi tena hospitali akapewa dawa nyingine ya kikohozi pamoja na dwa ya minyoo lakini hakuna nafuu yoyote. Baba yangu pia ana tatizo la kisukari je lina uhusiano wowote na kikohozi hicho? Nisaidieni jamani baba yangu apate kupona.