Kwa hiyo ukishaanzisha kitu hutakiwi kuulizwa? kunae shida kichwani mwako unasema tunaleta ujuaji wewe ndo mjuaji bila sababu, ulishindwa nini kumuulekeza aliekuuliza zaidi ya kuleta mbwembwe.Kazi kwani nalipwa?Ukiuliza kwa staha kuna shida gani?Nipanic sababu ya mtu nisiye mfahamu?either mimi ama wewe kuna mtu ana matatizo.
soma kabla hujabwabwaja.Nimeandika capacity ya machine mtu bado ananiuliza capacity.By the way huyo hajaanzisha uzi,all the information nilizoshare zilikuwa kwa ajili ya mwanzisha uzi na watu wenye lengo la kujifunza.Sio wanaojifanya wajuaji na hawajui kitu
Naomba gharama ya mashine ya kutengeneza chakula cha kuku, I mean feed mixer na ya kutengeneza pellets Boss.Mkuu viwanda au mashine wanazotengeneza ni nyingi hata siwezi maliza kuorodhesha.Nikutajie tu hata mbili labda
1.Machine za kutengeneza paper cups
2.Mashine za kutengeneza vyakula vya samaki (pellet machine) na vyakula vya kuku
3.complete system za kutengeneza mafuta(oil press) kama ya alizeti,karanga,soya etc
4.complete system ya kutengeneza misumari
5.Brick & block forming machine
etc etc
Hope umepata picha
kwakuwa utakuwa unanunua preforms za ku blow ndo ziwe chupa inatakiwa pia kuzingatia zina gram ngapi.Sababu gram za preform ndio zitaamua chupa yako iwe ngumu ama iwe nyepesi na laini.
Hope nimeeleweka .
Wanaitwaje kampuni yao haoMbezi beach Africasana kuna wachina wanauza machine zote complete za kiwanda cha maji
Kwa hiyo ukishaanzisha kitu hutakiwi kuulizwa? kunae shida kichwani mwako unasema tunaleta ujuaji wewe ndo mjuaji bila sababu, ulishindwa nini kumuulekeza aliekuuliza zaidi ya kuleta mbwembwe.
Naomba gharama ya mashine ya kutengeneza chakula cha kuku, I mean feed mixer na ya kutengeneza pellets Boss.
Ahsante
Ahsante sana Mkuu, vipi kuhusu feed mixer? Hizo gharama hapo juu ni hadi inanifikia ama?Bei za machine za pellets zinategemea na uwezo wake.
1.inayotengeneza 30-50 kg/h ni 5,950,000 tsh
2.60-80 kg/h ni 7,050,000 tsh
3.120-150 kg/h ni 7,300,000 tsh
View attachment 1208466
Ahsante sana Mkuu, vipi kuhusu feed mixer? Hizo gharama hapo juu ni hadi inanifikia ama?
Nitashukuru sana kama ukinipatia pia bei ya hiyo feed mixer boss, Hizi mashine hazina rukuzu 100% kweli?Hapana.Hizi nibei za huku.Ukitaka hadi kutuma mpaka Dar utaongeza 650k kwa kila machine hapo.Ushuru bandarini utamalizana nao.
Kuhusu bei za mixer hadi nipitie makabrasha yangu mkuu
My Jr said naomba tuwasiliane pleaseWakuu habari,
Ningependa kujua ni budget ya kiasi gani inatakiwa kwenye kuanzisha kiwanda cha maji ya kopo, kama Kilimanjaro & Uhai?
Mr Jr said naomba tuwasiliane pleasemkuu kiwanda kitategemea na facts mbalimbali.Kama
1. filling machine ina capacity kiasi gani,(inajaza chupa ngapi kwa saa).
2.Unnataka tank la ukubwa kiasi ani
3.Blowing machine ina uwezo gani
4.unataka full automated au semi automated
5.labeling machine utanunua au utaprint lables kwa kiwanda kingine
6.utakuwa una pack maji yako kwa nylon (utahitaji shrinking machina) ama utapack kwenye box
..........................
Nimefanyya project na watu tofauti kwa kuwanunulia hiz hii mitambo(complete ) inchini China (Bado nipo hukuπππ)
Hii ni moja ya kazi ya mtu mmoja anapatikana Ruvuma.
View attachment 1204932hii ni filling machine
View attachment 1204933hii ni semi automatic blowing machine.Ni ndogo inablowchupa mbili kila muda
View attachment 1204938hili ni tank (dogo)
View attachment 1204940Aliamua kuprint lable China (kwa kuanzia)
kuna vitu vingi ambavyo lazima uvizingatie ili kujua gharama halisi.
Ukitaka kiwanda kinaeleweka ,complete system gharama zinaanzia 50,000$.
(siuzi ila nimefanya project nyingi za hizi mambo View attachment 1204932View attachment 1204933View attachment 1204938View attachment 1204940
Niandikie hapa ,ila kama ni kitu binafsi nicheki PMMr Jr said naomba tuwasiliane please
We acha upuuzi kubisha tu jamaa kaleta maelezo wengine tujifunze[emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji38]wewe utanifundisha nini hata jina la preform hujui unaita test tube.
Utawapata maamuma tu ila sio waliopitia kwenye hiyo fani.