- Thread starter
- #21
Ni kweli , asanteUtakua umewafungia kwenye chumba au uzio na unawalisha chakula cha aina moja hivyo wamekosa madini.
Unapaswa kuchanganya madini kwenye chakula chao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli , asanteUtakua umewafungia kwenye chumba au uzio na unawalisha chakula cha aina moja hivyo wamekosa madini.
Unapaswa kuchanganya madini kwenye chakula chao
Nakazia hapo na kama utapata DCP ya kuchanganya kwenye maji itakuwa vyema zaid kila la heriWape calcium ama DCP.Kanunue duka la dawa za mifugohii
nimeanza kuwapa calcium fort. Is that Ok?H
Nakazia hapo na kama utapata DCP ya kuchanganya kwenye maji itakuwa vyema zaid kila la heri
nitawapiga picha keshoEmbu tuwaone....
Badala nishauri,nimebaki nacheka kama mazuri.Wanatambaa badala ya kutembea?Ila naamini wataalamu na wazoefu wamekwishakupatia ushauri.🙏nitawapiga picha kesho
yes, crawling!Wanatambaa badala ya kutembea
SahihiUtakua umewafungia kwenye chumba au uzio na unawalisha chakula cha aina moja hivyo wamekosa madini.
Unapaswa kuchanganya madini kwenye chakula chao
wameanza kutembea baada ya kuwapa calcium fort. asante kwa ushauriUtakua umewafungia kwenye chumba au uzio na unawalisha chakula cha aina moja hivyo wamekosa madini.
Unapaswa kuchanganya madini kwenye chakula chao
wameanza kutembea normally baada ya kuwapa calcium fort na starter na grower pellets. Bu for quick recovery use direct mineral feeding, nawanywesha calcium fort.....Ukiwap hyo ndani ya siku tatu wanakuwa sawa.Ilishanitokea hiyo
wameanza kutembea baada ya kuwanywesha calcium fort, asante kwa msaadaWape calcium ama DCP.Kanunue duka la dawa za mifugo
Kuna jitu linauliza, walianza kukaa kabla hawajaanza kutamba?Ni tatizo gani na matibau yake ni yapi. Tafadhali mwenye fununu
usiniharibie siku. eo ni siku yangu ya kufunga. Maana nitajibu asivyo taka munguKuna jitu linauliza, wqlianza kukaa kabla hawajaanza kutamba?
Nilijua itakuwa hvo.Nitumie ya soda anawameanza kutembea baada ya kuwanywesha calcium fort, asante kwa msaada
nimefanya hivyo na sasa wanatembea. Kwa elimu zaidi nilishauriwa niwape starter na grower maana hivyo vina kila kitu...It works!H
Nakazia hapo na kama utapata DCP ya kuchanganya kwenye maji itakuwa vyema zaid kila la heri
Nilijua itakuwa hvo.Nitumie ya soda ana