Msaada: Bata wangu wanakufa, niwapatie dawa gani?

Msaada: Bata wangu wanakufa, niwapatie dawa gani?

Sereni25

Member
Joined
Dec 14, 2018
Posts
78
Reaction score
91
Kwa mwenye kujuwa huu ugonjwa, tafadhali anisaidie niwape dawa gani wanazunguka zunguka kwa kukunja shingo mwisho wanakufa.

IMG_20191011_063139.jpg
 
Kipindi wapo wadogo ulikuwa unawanyoosha shingo??? Lakini nafikiri uwahi kwa daktari wa mifugo tu mkuu otherwise utawapoteza wote.....
 
Kipindi wapi wadogo ulikuwa unawanyoosha shingo??? Lakini nafikiri uwahi kwa daktari wa mifugo tu mkuu otherwise utawapoteza wote.....
Hapana mkuu ila huyo kwenye picha alikuwa bado hajafa nilimpa chakula na kijiko na vitamin yenye antibiotics na dawa nyingine jina nimesahau nilinunuwa ila ni antibiotic leo ameanza kusimama na kuanza kujaribu kula!
IMG_20191013_074908.jpg

Ninao wengi na vifaranga inatakiwa niwa nyooshe shingo mkuu?
 
Huwa una wachanganyiaia mifupa na chokaa kwenye chakula hao wana kosa nguvu za miguu na ndo ugonjwa mkubwa wa hata huo... Nenda kwenye maduka ya chakula cha mifugo ulizia hivyo vitu arafu uanze kuwachanganyia kwenye chakula chao pia uwe una wabadilishia maji yao Mara kwa Mara.. Kwa ushauri zaidi muone dokta wa mifugo
 
[emoji122] Umejaribu tu dawa sawa sikilizia kucheki matokep lakini yakiendelea matatizo mtafute daktari mkuu....
Hapana mkuu ila huyo kwenye picha alikuwa bado hajafa nilimpa chakula na kijiko na vitamin yenye antibiotics na dawa nyingine jina nimesahau nilinunuwa ila ni antibiotic leo ameanza kusimama na kuanza kujaribu kula!
View attachment 1232621
Ninao wengi na vifaranga inatakiwa niwa nyooshe shingo mkuu?
Yah bata mdogo unatakiwa kuwanyoosha shingo, chukua bata mdg tumia mikono miwili mmoja shika shingo mwengine shika shingo then vuta usitumie nguvu zote mpk utakaposikia sauti ya kujinyoosha....

Fanya hivo ata mara 2 au 3 kwa week.....
 
Huwa una wachanganyiaia mifupa na chokaa kwenye chakula hao wana kosa nguvu za miguu na ndo ugonjwa mkubwa wa hata huo... Nenda kwenye maduka ya chakula cha mifugo ulizia hivyo vitu arafu uanze kuwachanganyia kwenye chakula chao pia uwe una wabadilishia maji yao Mara kwa Mara.. Kwa ushauri zaidi muone dokta wa mifugo
Huwa nina wabadilishiaga mkuu ila apo kwenye mifupa nime zembea sana mkuu nimekuwa nikiwapa sana pumba bila kuwa changanyia na virutubisho Mara chache sana Nina wekaga D.C.P !
 
[emoji122] Umejaribu tu dawa sawa sikilizia kucheki matokep lakini yakiendelea matatizo mtafute daktari mkuu....Yah bata mdogo unatakiwa kuwanyoosha shingo, chukua bata mdg tumia mikono miwili mmoja shika shingo mwengine shika shingo then vuta usitumie nguvu zote mpk utakaposikia sauti ya kujinyoosha....

Fanya hivo ata mara 2 au 3 kwa week.....
Shukran mkuu ngoja leo nijaribu Nina vifaranga wa week 2 na 3
 
[emoji122] Umejaribu tu dawa sawa sikilizia kucheki matokep lakini yakiendelea matatizo mtafute daktari mkuu....Yah bata mdogo unatakiwa kuwanyoosha shingo, chukua bata mdg tumia mikono miwili mmoja shika shingo mwengine shika shingo then vuta usitumie nguvu zote mpk utakaposikia sauti ya kujinyoosha....

Fanya hivo ata mara 2 au 3 kwa week.....
Duuh kama unao 100 utaweza kweli mkuu?
 
magonjwa ya Bata wakubwa nami hunitesa, hasa ya kushindwa kusimama. Ukitotolesha wadogo tuwasiiane, dawa ipo nitakuelekeza bure.
Shukran mkuu ninao vifaranga mkuu wa week 2 , 8 wengine wa leo!
 
Shukran mkuu ninao vifaranga mkuu wa week 2 , 8 wengine wa leo!
Chukua vikonyo 6-10 (kutegemeana na ukubwa). Twanga vilainike kisha changanya na maji lita 2 weka chombo cha maji wanywe. Kila siku wape dawa fresh kwa siku 5. Waepushe na maeneo yalio lowa umri chini ya wiki 2. Chakula chao usichanganye na maji.
 
Chukua vikonyo 6-10 (kutegemeana na ukubwa). Twanga vilainike kisha changanya na maji lita 2 weka chombo cha maji wanywe. Kila siku wape dawa fresh kwa siku 5. Waepushe na maeneo yalio lowa umri chini ya wiki 2. Chakula chao usichanganye na maji.
Mkuu vikonyo sija vijuwa kabisa !
 
Back
Top Bottom