J jobseeker Member Joined Feb 25, 2012 Posts 69 Reaction score 7 May 22, 2013 #1 habari zenu wanaukumbi. Nilikuwa nataka kujua kama kuna yeyote kwenye ukumbi huu anaejua average ya bei za viwanja vya nyumba kiziwani Zanzibar katika mkoa wa mjini magharibi pamoja na taratibu za kununua kiwanja zanzibar anielimishe. asanteni
habari zenu wanaukumbi. Nilikuwa nataka kujua kama kuna yeyote kwenye ukumbi huu anaejua average ya bei za viwanja vya nyumba kiziwani Zanzibar katika mkoa wa mjini magharibi pamoja na taratibu za kununua kiwanja zanzibar anielimishe. asanteni
Democracy999 JF-Expert Member Joined May 26, 2012 Posts 945 Reaction score 189 May 23, 2013 #2 2,000,000 Tsh hadi 6,000,000. mitaa ya kupata haraka ni Fuoni
J jobseeker Member Joined Feb 25, 2012 Posts 69 Reaction score 7 May 23, 2013 Thread starter #3 Democracy999 said: 2,000,000 Tsh hadi 6,000,000. mitaa ya kupata haraka ni Fuoni Click to expand... Asante mkuu, ila ningelipenda kukuuliza huko fuoni viwanja ni vile vilivyopimwa au vya kuuziana kiholela holela na wenye mashamba yao?
Democracy999 said: 2,000,000 Tsh hadi 6,000,000. mitaa ya kupata haraka ni Fuoni Click to expand... Asante mkuu, ila ningelipenda kukuuliza huko fuoni viwanja ni vile vilivyopimwa au vya kuuziana kiholela holela na wenye mashamba yao?
M Mama Joe JF-Expert Member Joined Mar 30, 2009 Posts 1,504 Reaction score 840 May 25, 2013 #4 Kuna kingine kilikuwa kinauzwa ml 3. Kimepimwa 70mx70m ni pm nikupe namba ya simu.
Democracy999 JF-Expert Member Joined May 26, 2012 Posts 945 Reaction score 189 May 26, 2013 #5 Vyote vimepimwa, ni kweli hata milioni mbili utauziwa kama mtu amebanwa