Kama uko Dar, nenda Mkombozi Commercial Bank, wako St. Joseph Cathedral (karibu na posta ya zamani).
Jamaa wanatoa mikopo hiyo ya vikundi kwa dhamana ya wanakikundi wa kikundi husika.
Pia benki ya wanawake (TWB) wanatoa mikopo kama hii.
Kama uko Dar, nenda Mkombozi Commercial Bank, wako St. Joseph Cathedral (karibu na posta ya zamani).
Jamaa wanatoa mikopo hiyo ya vikundi kwa dhamana ya wanakikundi wa kikundi husika.
Pia benki ya wanawake (TWB) wanatoa mikopo kama hii.