msaada, benk inayotoa mkopo dhamana ikiwa ni group

msaada, benk inayotoa mkopo dhamana ikiwa ni group

Kariongo

Senior Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
112
Reaction score
5
nauliza ni benk gan inatoa mkopo wa riba nafuu, lakin dhamana yake ina base kwenye group lakin mkopo unatolewa kwa kila memba kwenye kikundi?
 
nauliza ni benk gan inatoa mkopo wa riba nafuu, lakin dhamana yake ina base kwenye group lakin mkopo unatolewa kwa kila memba kwenye kikundi?

Kama uko Dar, nenda Mkombozi Commercial Bank, wako St. Joseph Cathedral (karibu na posta ya zamani).
Jamaa wanatoa mikopo hiyo ya vikundi kwa dhamana ya wanakikundi wa kikundi husika.
Pia benki ya wanawake (TWB) wanatoa mikopo kama hii.
 
Kama uko Dar, nenda Mkombozi Commercial Bank, wako St. Joseph Cathedral (karibu na posta ya zamani).
Jamaa wanatoa mikopo hiyo ya vikundi kwa dhamana ya wanakikundi wa kikundi husika.
Pia benki ya wanawake (TWB) wanatoa mikopo kama hii.

asante mkuu
 
Back
Top Bottom