mpatto
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 766
- 1,031
Habari wanabodi,
Mimi ni mfanyakazi sekta binafsi, nimejikusanya na sasa nina kama 1M hivi.
Nataka kuifanyia biashara lakini sijui nifanye biashara ipi, maana ama nitafute mtu wa kunifanyia hiyo kazi au niache kazi na kuofanya biashara.
Yote kati ya hayo ni magumu kwangu kwa maana kwa biashara inapokuwa changa ni vigumu sana kukua kwa haraka kama hauifanyi wewe direct. Mfano, kuuza duka n.k
Pia kuacha kazi na kuanza kufanya biashara ni risk sana provided biashara haikufanikiwa. Ni kweli ninafahamu kuwa ukitaka kuwa entrepreneur ni lazima uwe risk taker, lakini tukumbuke kuwa hizo risks lazima ziwe calculated kwanza.
Sasa, nimekuja hapa kwa nyie wadau ambao ni great thinkers na of coarse some of you have such experiences, muweze kunishauri, kwamba kwa mtaji huo wa 1M naweza kufanya biashara gani real isiyohitaji msaidizi au kuharibu ratiba zangu zingine!
Natanguliza shukrani
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mfanyakazi sekta binafsi, nimejikusanya na sasa nina kama 1M hivi.
Nataka kuifanyia biashara lakini sijui nifanye biashara ipi, maana ama nitafute mtu wa kunifanyia hiyo kazi au niache kazi na kuofanya biashara.
Yote kati ya hayo ni magumu kwangu kwa maana kwa biashara inapokuwa changa ni vigumu sana kukua kwa haraka kama hauifanyi wewe direct. Mfano, kuuza duka n.k
Pia kuacha kazi na kuanza kufanya biashara ni risk sana provided biashara haikufanikiwa. Ni kweli ninafahamu kuwa ukitaka kuwa entrepreneur ni lazima uwe risk taker, lakini tukumbuke kuwa hizo risks lazima ziwe calculated kwanza.
Sasa, nimekuja hapa kwa nyie wadau ambao ni great thinkers na of coarse some of you have such experiences, muweze kunishauri, kwamba kwa mtaji huo wa 1M naweza kufanya biashara gani real isiyohitaji msaidizi au kuharibu ratiba zangu zingine!
Natanguliza shukrani
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app