Wakuu kheri ya mwaka mpya, Nakiri kua sisi tulio humu tunatofautiana maarifa pamoja na jicho la kuiona fursa.
Mimi hapa Naomba mwongozo, Nina account "page"Facebook inayo jihusisha na maudhuhi ya michezo Sasa nimefikisha follower's laki moja 100k
Ni Biashara ipi ambayo naweza kuifanya kupitia hawa followers wangu.?
Haina post za kiingereza mkuu, ina post za kiswahili tu na imekaa Kama private account.Je, ina post za kingereza au kiswahili?
Ungeweka link ya iyo page ingekuwa rahisi kukushauri
Kuna idea nyingi
1: App : Kwenye page utakuwa unaweka habari kwa ufupi , but full stori atabonyeza link ya app , huko atakuna na Ads , ambazo zitakulipa
2: Monetization : Unaweza uka-monetize page kwa kutumia facebook
Weka link ili iwe rahisi kukupa nini cha kufanya
Link ,Haina post za kiingereza mkuu, ina post za kiswahili tu na imekaa Kama private account.
Tangaza unauza dawa za kuongeza nguvu za kiume.Mimi mwanaume
Tangaza unauza dawa za kuongeza nguvu za kiume.
Chukua asali changanya na mdalasini weka kwenye vichupa vidogo, print label zako zenye picha ya misuli bandika kwenye chupa.
Niamini mimi utakuja kunishukuru.
Mimi najitolea kutoa ushuhuda kwenye picha utakayoweka kuwa dawa yako kiboko nimeenda round 8.
Tunakutafuta PM hatukupati mkuu, naomba kukanyaga ganda la ndiziiiJe, ina post za kingereza au kiswahili?
Ungeweka link ya iyo page ingekuwa rahisi kukushauri
Kuna idea nyingi
1: App : Kwenye page utakuwa unaweka habari kwa ufupi , but full stori atabonyeza link ya app , huko atakuna na Ads , ambazo zitakulipa
2: Monetization : Unaweza uka-monetize page kwa kutumia facebook
Weka link ili iwe rahisi kukupa nini cha kufanya
Wapi hujaelewa BossTunakutafuta PM hatukupati mkuu, naomba kukanyaga ganda la ndiziii
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Mkuu umetishaTangaza unauza dawa za kuongeza nguvu za kiume.
Chukua asali changanya na mdalasini weka kwenye vichupa vidogo, print label zako zenye picha ya misuli bandika kwenye chupa.
Niamini mimi utakuja kunishukuru.
Mimi najitolea kutoa ushuhuda kwenye picha utakayoweka kuwa dawa yako kiboko nimeenda round 8.
Link ,
JESUS Moloko
JESUS Moloko. Gefällt 43.330 Mal · 5 Personen sprechen darüber. Like the pagewww.facebook.com
Pia njia nyingine ni kuwatangazia wateja wako biashara zaoJESUS Moloko
JESUS Moloko. Gefällt 43.330 Mal · 5 Personen sprechen darüber. Like the pagewww.facebook.com