Msaada: Biashara ipi naweza ifanya kupitia followers wangu wa Facebook.?

Msaada: Biashara ipi naweza ifanya kupitia followers wangu wa Facebook.?

Pia njia nyingine ni kuwatangazia wateja wako biashara zao
Kwa Tsh 5000 kwa post ,
Kwa Instagram , huwa wanatoza 5000 hadi 2500

Utatengeneza post kuwa unatangaza biashara , na gharama ni 5000 , pamoja na mawasiliano yako , ili mwenye tangazo akucheki
Mkuu mawasilino yangu ya WhatsApp ni 0653214598 Naomba tuwasiliane huko tafadhali
 
Back
Top Bottom