Pia njia nyingine ni kuwatangazia wateja wako biashara zao
Kwa Tsh 5000 kwa post ,
Kwa Instagram , huwa wanatoza 5000 hadi 2500
Utatengeneza post kuwa unatangaza biashara , na gharama ni 5000 , pamoja na mawasiliano yako , ili mwenye tangazo akucheki