Jameni kwa ambaye anafahamu naomba msaada kuhusu hii biashara.Naomba kufahamu yafuayayo:-
1.Vifaa vinavyotumika na bei zake
2.Wapi naweza kupata matetials kwa bei nafuu hapa Dar
3.Bei ya kuuza kwa square meter inayoleta faida
4.Changamoto katika hii biashara
Natanguliza shukrani.
1.Vifaa vinavyotumika na bei zake
2.Wapi naweza kupata matetials kwa bei nafuu hapa Dar
3.Bei ya kuuza kwa square meter inayoleta faida
4.Changamoto katika hii biashara
Natanguliza shukrani.