A Ashuraju Member Joined Dec 6, 2012 Posts 36 Reaction score 2 Jan 26, 2013 #1 Habari zenu wana JF, ninaomba msaada mwenye kujua kuhusu biashara ya chips yaani kibanda cha chips kwa hapa dar. Mtaji ni kiasi gani?na faida yake? Na ushauri wowote katika ili.nitashukuru.
Habari zenu wana JF, ninaomba msaada mwenye kujua kuhusu biashara ya chips yaani kibanda cha chips kwa hapa dar. Mtaji ni kiasi gani?na faida yake? Na ushauri wowote katika ili.nitashukuru.