Habari zenu wana JF, ninaomba msaada mwenye kujua kuhusu biashara ya chips yaani kibanda cha chips kwa hapa dar. Mtaji ni kiasi gani?na faida yake? Na ushauri wowote katika ili.nitashukuru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.